Zero haina cheti? Jwa hiyo dawa ni kulia tu maana khakuna namna nyingine.JE ANACHO?
ha hah a alie tu hata ya damu alete chetiZero haina cheti? Jwa hiyo dawa ni kulia tu maana khakuna namna nyingine.
Shemeji upo bado na bashite?JE ANACHO?
nipo naye mkuu nataka arudi nyumbaniShemeji upo bado na bashite?
Sema precedent badala ya citation.Makonda hakuwa sahihi kumtaja Gwajima kuwa anahusika na dawa za kulevya wakati hakuwa na ushahidi angalau wa asilimia 90. Kitendo cha Gwajima kutofunguliwa mashitaka, maana yake alimtaja bila ushahidi.
Gwajima hapaswi kuendesha vita yake binafsi na Makonda kupitia Kanisa. Ni kama ambavyo Makonda hakuwa sawa kutumia cheo chake kumpa Gwajima tuhuma nzito za dawa za kulevya.
Tafsiri ni kuwa Makonda alitumia ofisi yake vibaya, naye Gwajima ametumia madhabahu yake vibaya. Kwa msemo wa mtaani, hiyo wanaita “mbwa kala mbwa! Yaani mechi sare. Kwamba ngoma droo.
Wanasheria wanapokuwa wakitekeleza majukumu yao katika kesi, hufanya marejeo ya kesi za nyuma zenye mfanano na kesi husika ili kuzipa uzito hoja au hukumu, wenyewe huita legal citation.
Kwa kesi hii, ‘legal citation’ ambayo naitumia ni tukio la miaka nane iliyopita, pale mfanyabiashara Reginald Mengi alipotangaza wafanyabiashara watano kuwa ndiyo mafisadi papa. Aliwataja kuwa ni Rostam Aziz, Yusuf Manji, Tanil Somaiya, Jeetu Patel na Subhash Patel.
Rostam alimjibu Mengi kwa kumtaja kuwa ni fisadi nyangumi. Baada ya hapo mzee Mengi alikwenda mahakamani, akituhumu kuchafuliwa jina lake.
Swali likawa, je, kwani wakati yeye anataja mafisadi papa, alidhani Rostam angechekelea na asingeumia? Kila nafsi ina nyama na damu, kinachokuumiza wewe, na mwenzako akitendewa kitamuumiza.
Kama ambavyo Makonda anaumia na hata kutoa machozi kwa sababu ya mjadala wa cheti, ndivyo na Gwajima aliumia sana kutajwa kuhusika na biashara ya dawa za kulevya. Zaidi Gwajima alilala mahabusu, akapelekwa nyumbani kupekuliwa kisha kupimwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali. Gwajima hakulia ila aliumia.
Kinachotokea kati ya Makonda na Gwajima, ni ile dhana kuwa ukichezewa rafu uwanjani kisha ukarudisha, wewe unakuwa umekosea zaidi. Hata hivyo ukweli usiopingika ni kuwa anayetumia mamlaka ya nchi kumkabili raia isivyofaa, anapaswa kuwa mkosefu zaidi.
Kwa msingi huo, watu wanaomlaumu Gwajima kutumia uwanja wa taasisi yake ya kidini kumkabili Makonda, wanatakiwa kuwa wakali zaidi kumsema Makonda kutumia ofisi ya umma kuzushia watu kashfa na kuwachonganisha na jamii
By chibudeeee
ACHA BLABLAAA.... TUNATAKA VYETI VYA DAUDI HAPA!!Naona mmeanza kugeukana. Wenzako wanasema Makonda kaiba vyeti, wewe unasema kanunua! Lazima mvurugane mwaka huu
Ukistiri ya watu na yako yatastiriwa ukijifanya mjuaji Wapo wajuzi zaid yako overWalikua wapi kumsema kabla?wasitusumbue aisee.Movie yao imeanza kutuchosha
swala hapa lipo hiviUkweli upi? Si aweke vyeti hadharani aache maneno? Then na yeye aweke vyeti vyake vya uchungaji sheinzi type, atuambie alisomea wapi uchungaji
Ushahidi ukipatikana sheria itachukua mkondo wake kikubwa pelekeni ushahidi necta au kwenye vyombo husika. Lissu kibatala prof safari jenerali ulimwengu mko wapi?swala hapa lipo hivi
huyu bwana daudi kutoka kolomije ni mtumishi wa uma ambapo mtukufu raisi alimtuma akatafute majina yote ya watumishi wenye vyeti feki ...
sasa yeye binafsi huyu rc anatumia cheti feki alipata wapi nguvu za kumdanganya raisi kuwa yeye ni makonda wakati kumbe yeye ni daudi?
je hakuna majina mengine hewa huyu rc hajayapeleka kwa raisi achilia mbali la kwake ?
kwanini unamkingia kifua ilhali hata hao watumishi 19 elf pia wanamahitaji muhimu ya kibinadamu kama makonda?
kwanini makonda asifutwe kazi na kupandishwa kizimbani?
dunia nzima hii tunaona hata S.A juzijuzi kuna mwanasiasa mmoja kajiuzulu kwa sababu ana phd feki...
lengo la raisi lilikuwa ni nini au mpango wa kuondoa watumishi wachache na kubakisha wengine anaowataka anawaacha kwa matakwa yake?
kwanini haki isitendeke je unaona kuwa makonda peke yake ndo mwenye uwezo wa kuiongoza dar?
😱
Mnataka mvipeleke wapi? Nyie ni akina nani?acha blablaaa TUNA
ACHA BLABLAAA.... TUNATAKA VYETI VYA DAUDI HAPA!!
yeye ndo shahidi wa kwanza wa hii ishu wacha kugeuza geuza manenoUshahidi ukipatikana sheria itachukua mkondo wake kikubwa pelekeni ushahidi necta au kwenye vyombo husika. Lissu kibatala prof safari jenerali ulimwengu mko wapi?
sisi ni wale aliotuhakiki na kusema tunatumia vyeti fekiMnataka mvipeleke wapi? Nyie ni akina nani?
Ni kweli fungueni kesi basi aje atoe ushahidi kwa amri ya mahakama.yeye ndo shahidi wa kwanza wa hii ishu wacha kugeuza geuza maneno
Anachosisi ni wale aliotuhakiki na kusema tunatumia vyeti feki
sasa kwani chake kiko wapi?
aonyeshe anacho cha christian ambacho ni batiliAnacho