Jana upuuzi huu
leo umerudia ku copy !!
Imesha buma
mwambieni kwanza Mbowe aonyeshe vyeti walau vya lasaba tu
Kwahiyo kwanini awaongoze wenye akili yeye akiwa ZEROMbowe sio siri ni failure
Je bashite yy mbona anafanya siri
Kwa mtazamo wangu yafuatayo yanaweza kuwa madhara ya kufumbia maccho jambo hili.
1.Waliokuwa wamebakiza imani ndogo kwa Mkuu wa Kaya sasa wamebakiza imani "zero" kwake
2.Waliokuwa bado wanamuamini sasa imani yao kwake nayo imeanza kushuka
3.Imani ya wananchi kwa chama tawala inazidi kushuka
4.Chama tawala kitapoteza viti vingi vya ubunge hasa katika jiji la Dar-es-laama na majiji mengine makubwa ya nchi hii.
5.Zoezi zima la uhakiki limepoteza maana na limedharaulika.
6.Mazoezi mengine yoyote yatakayofuta watu watayadharau
7.Waliokuwa bado wanavutiwa na hotuba zake sasa wataacha kumsikiliza.
8.Ni mfano mbaya kwa wanafunzi walioko mashuleni.
9.Vijana wengi wataamini mafanikio katika maisha ni ujanja wako tu na kwamba kusoma sio issue.
10.Ukijuana na wakubwa wewe ni utouchable.
11.Baadhi ya vijana watakuwa insipired kufuata nyayo za RC huyu kufikia hapo alipo bila kujali hatari inayowakabili.
12.Baadhi ya watu hawatakuwa comfortable kuumpa mtuhumiwa heshima yake kama kiongozi na wengine hawatajisikia amani kuhudumiwa na mtuhumiwa.
13Mthumiwa nae hatakuwa comfortable kupokea heshima anayopewa na atajihisi hastahili tena heshima hiyo.
14.Hadhi ya jiji husika na watu wake kushuka thamani.
15.Mtuhumiwa kujihisi kusemwa na kila mtu hasa pale anapoona watu walio karibu yake au anaofanya nao kazi ofisi moja wanapiga story katika vikundi na hata wawapo maofisini...
16.Athari za kisaikolojia kwa muhusika katika siku za baadae.
17.Ajenda na turufu ya upinzani mwaka 2020
(Najudaga)
Nenda shule kwanza
Binamu tuliambiwa leo Gwajima atashusha wazee kutoka kijijini kwa Makonda,wamefika?Mnajua kunyoosha midomo juu wakati vyeti hamna, mfyuuuu....
Hivi ulienda shule kusomea ujinga!!Kwani umeambiwa Mbowe anatumia.jina la kununua?? Mmejiliza kanisani kisa mnaogopa kwenda jela unasingizia Mke wangu siyo RAIA.Mbona mnawapeleka wenzenu masaa 48 zamu yenu kuona jela.
Jela miaka saba inawasubiri hata mile vipi. Halafu ukapime hizo Sugu kama ziko zote.
Ndo maana nasema Tanzania hatuna opposition parties....vyama gani vya kutetea na kupokea wauza na watunia mihadarati????Makonda ndo afanywe kuwa ajenda na turufu kwenye uchaguzi wa 2020?
Huko kutakuwa ni kujisababishia kipigo cha ki-Tsunami.
Tayari tu kwa hali ilivyo wapinzani watashindwa.
Ila kulifanya hilo jambo liwe ajenda kutaongeza ukubwa wa kipigo.
Mtajanambia hiyo 2020!
Vyama vya upinzani vya Tanzania havijui kabisa kupanga mikakati ya kisiasa.
Kwahiyo kwanini awaongoze wenye akili yeye akiwa ZERO
(Vyetu)Kamwambie Bashite aliyenunua vyetu.Wakati wenzie wanasoma.yeye alikuwa busy anavuta bangi Mwanza zero kabang ananunua vyeti mwaka huu atalia sana
Hivi ulienda shule kusomea ujinga!!
hujui kituo kikubwa wala mkato vinawekwa wapi!!
Rudi shule
Kwahiyo kwanini awaongoze wenye akili yeye akiwa ZERO
Nenda shule kwanzaNdiyo sababu jamaa yako Daudi Bashite Hafai kuwa Kiongozi mwizi wa vyeti.Mwambie kabisa jela miaka saba.
(Vyetu)
Hii ndio hasara ya kuongozwa na mwenyekiti ZERO
Na vibaraka wote ni ZERO
Kwa sababu ata chadema waliwafukuza wasomi kama akina zitto kabwe na kumwacha mbulula kama mbowe na anakiongoza chama.Tanzania haitaji wasomi kwa sasa bali watendaji mkuu.
Nenda shule kwanza
We umezaliwa mwaka gan? Mbowe amesoma, na kama hana elimu kubwa hasingequalify kwenye tume ya uchaguzi kugombea urais mwaka 2005....Jana upuuzi huu
leo umerudia ku copy !!
Imesha buma
mwambieni kwanza Mbowe aonyeshe vyeti walau vya lasaba tu
Tye Tye Tye kumbe Mbowe ZERO
Hahahaha hasara ya kuwa na Mkuu wa mkoa aliyefeli darasa la pili,darasa la NNE,darasa la saba na form four kazungusha,akaamua kuforge kisa anataka kwenda chuo.
Hivyo usishangae issue ni Mkuu wa Mkoa kupata Zero na Bilicanas kama kumi hivi. Na juzi Mzumbe kaenda Bilicanas. Mwambie jela inamsubiri.
Ficha upumbavu wakoMbowe hama.Zero.pole.Leta vyeti acha blah blah. Daudi Bashite Fa Fa Fa mpaka dini Fa halafu unajiita mlokole.
Akapime Sugu hizo.
Ndo maana nasema Tanzania hatuna opposition parties....vyama gani vya kutetea na kupokea wauza na watunia mihadarati????
Vyama gani vya kusubiri matukio na kujishikiza hapo??? Hii inaonesha havina mikakati yaani mpango kazi. Vinacheza ngoma ya CCM. Aibu sana