Namkubali Makonda kwa uchapakazi.
Agenda zote za serikali ambazo huanzishwa, yeye hukamata kijiti na kuwa Imara. Iwe ni agenda ya watumishi hewa, kutengeneza madarasa na madawati n.k.
Ila katika pitapita zangu sijaona akifuatilia kwa ukaribu uhakiki wa vyeti vya watumishi.
Kiongozi toa vyeti hadharani mambo yaishe. Ukimya mbaya.