na asipomshughulikia watasema ni kwasababu mtu kutoka kanda yake, msukuma, homeboy, mtihani hapo. kuna watu wengi wamekimbia kazi hivi juzi baada ya udahili/upekuzi vyeti maofisini, lakini jamaa ameshagundulika alikuw na magumashi, kwanini asiachishwe kazi au kwasababu ni mkuu wa mkoa.Shida ni mkuu wa nchi alimuamini mno mno mno Bashite! Kumbe waliofanya vetting walimdanganya labda purposely!
Mkuu wakati mwingine usipoteze muda kuongea na Mtu mwenye ubongo wa panzi. Huyu hajui jinai ya kughushi cheti huwa inaenda mbali. Bashite alipotumia cheti cha Paul Christian aliomba pia cheti cha kuzaliwa kule RITA, Pasipoti Uhamiaji, kitambulisho cha kupiga kura NEC, kadi za Benki nk kote huko katumia jina la magumashi na kumbuka kila Taasisi ina sheria zake za adhabu kwa wale wanaotoa taarifa za gongo hivyo kwa muktadha huu nashangaa watu wanavyomtetea huyu mtu. Mimi nawashauri jambo wajaribu kufanya kama jinai ya Bashite halafu waone kama watabaki uraianiKweli mapenzi hupofusha, yaani wewe Leo ni wa kusema serikali haiwezi kuchunguza jambo kwa vile hakuna official complaints iliyoletwa? Maajabu makubwa!
Kumbuka katika sakata hilo kuna suala la Uhamiaji kutoa hati ya kusafiria ya Paulo chini ya viapo vya kisheria na ni wajibu wao kuchunguza iwapo kuna tetesi kuwa mtu wanaye mtambua kama X site Bali ni Y..
Unadhani jambo hilo lingezungumzia mtu wa mtaani tuu au mpinzani serikali ingesubiri official complaints ili kuchunguza?
Hatutakagi longolongo tunataka cheti alichozungushaNimesema Gwajima kasema ana vyeti, nimerule out kuwa huu ni uongo, Gwajima hawezi kuwa na vyeti bali common sense inaelekeza kuwa Gwajima alimaanisha ana nakala za vyeti. Kuwa na vyeti ni jambo moja na kuwa na nakala za vyeti ni jambo jingine.
Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo! Adai yeye ni zaidi ya Rais...
Paskali
Yeye ni mtumishi wa Mungu, Rais ni wa Serikali upo hapo? Yeye Biblia ndo Katiba yake,.Nimesema Gwajima kasema ana vyeti, nimerule out kuwa huu ni uongo, Gwajima hawezi kuwa na vyeti bali common sense inaelekeza kuwa Gwajima alimaanisha ana nakala za vyeti. Kuwa na vyeti ni jambo moja na kuwa na nakala za vyeti ni jambo jingine.
Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo! Adai yeye ni zaidi ya Rais...
Paskali
Mkuu ni maajabu kuwa GT wengi humu JF wanashindwa kuliona hilo kwa vile mambo mengi hawayajadili kwa kutumia akili bali moyo. Wanashindwa kujua kuwa moyo hautakiwi kutumiwa katika jambo lolote zaidi ya kusukuma damu na imani ya uabudu tuu.Mkuu wakati mwingine usipoteze muda kuongea na Mtu mwenye ubongo wa panzi. Huyu hajui jinai ya kughushi cheti huwa inaenda mbali. Bashite alipotumia cheti cha Paul Christian aliomba pia cheti cha kuzaliwa kule RITA, Pasipoti Uhamiaji, kitambulisho cha kupiga kura NEC, kadi za Benki nk kote huko katumia jina la magumashi na kumbuka kila Taasisi ina sheria zake za adhabu kwa wale wanaotoa taarifa za gongo hivyo kwa muktadha huu nashangaa watu wanavyomtetea huyu mtu. Mimi nawashauri jambo wajaribu kufanya kama jinai ya Bashite halafu waone kama watabaki uraiani
Paskali njaa inakuaibisha maana sasa unaongea bila kujitambua; kifupi nyaraka yoyote ya serikali ambayo alipewa mtu kwa utambulisho ikitumika vibaya serikali inaweza kumnyang'anja mtu huyo na kubatilisha maamuzi ya awali tofauti iliyopo hapa ni kwenye upande wa elimu maana hapa unaweza kunyang'anywa cheti lakini kilichopo kichwani kinabaki. Mimi kuanzia Ordinary - Adv. level nilisoma Azania Sec nawajua walimu wengi wa pale tangu wa enzi ya Mchwampaka, na Mkuu wa Shule Andrew Kwayu wakina Sebastian Ndege na kundi lake wanawajua hawa na ukiniuliza maswali kuhusu masomo nayajua mpaka leo na bahati kwenye kazi yangu sitoi maamuzi bila hesabu aka Namba kama tulivyoziita enzi zile sasa muulize Bashite kama anajua chochote kule anakodai alipitia. Tuliza njaa wewe!Mkuu Msemaji unwell, kwa kuanzia, japo Mchungaji Gwajima alisema anavyeti, hii sii kweli, emesema uongo ila common sense ulielekeza anamaanisha ana nakala na sio vyeti. Kuhusu huu uongo wa Gwajima, tumeuzungumza hapa.
Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo! Adai yeye ni zaidi ya Rais...
Pili vyeti vyovyote vya elimu, hospital, safari (passport), kuzaliwa, uraia, kifo etc, au cheti kingine chochote hata leseni, sio nyaraka za serikali bali ni personal documents, hivyo haziingii kwenye sheria ya nyaraka za serikali.
Passport na leseni ndizi nyaraka za serikali kwenye personal documents ambazo serikali inakuazima na kuweza kukunyanganya wakati wowote.
Sio kosa kisheria mtu mwingine yoyote kukutwa na personal document ya mtu mwingine yoyote as long as ameipata kihalali.
Nyaraka za serikali at person level ni barua zote za kiserikali mtu unapoandikiwa na sio kosa kwa barua hizi kukutwa kwa mtu mwingine yoyote.
Nyaraka za serikali ambazo ni kosa kisheria kukutwa kwa mtu mwingine, ni zile tuu zilizogongwa muhuri wa siri/confidential, Secret na Top Secrets.
Vyeti vya elimu vya mtu yoyote sio confidencial, sio secret wala top secrets documents hivyo sii kosa kisheria mtu mwingine yoyote kuwa navyo kihalali na ukikutwa na vyeti vya mtu mwingine isivyo halali, ni kosa la kukutwa na malí ya mtu kama wizi mwingine wowote na sio kosa la kukutwa na nyaraka za serikali.
Paskali