PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,105
- 14,356
ThibitishaNi mpiga Deal kama wapiga Deal wengine.
ThibitishaNi mpiga Deal kama wapiga Deal wengine.
Kwenye mioyo ya wengi wanatambua kua mchungaji kanena kweli ila humu kwenye social network baadhi ya watu watajifanya wao wakristo kweli na kumdhihaki mchungaji,uulize moyo wako kwanini unatamani mwanamke mwingine wakati una mkeo ndani?haya mambo MUNGU aliyaona sababu ndie alietuumba,anajua hali zetu wanaume akaamua kutuhalalishia zaidi ya mke mmoja,sasa kujifanya kupingana nae ni kuidanganya nafsi yako.
Ukweli upi sasa. Hakuna ukweli wowote hapo.Ukweli mchungu.
Sawa basi nenda ukanywe naye chai.Mbona wengine tumemuelewa!
Mbona yeye ana Mke mmoja tu?
Mbona yeye ana Mke mmoja tu?
Lusekelo,Gwajima,Mwingira,kakobe,Joshua,Rwakatare etc ni wapiga deal.
........mwisho wa dunia unakuja.........Hiyo hapo.
Mchungaji kasema hayo kwenye ibada ya leo. Huyo ndo mzee wa upako.
View attachment 433450
UsihukumuLusekelo,Gwajima,Mwingira,kakobe,Joshua,Rwakatare etc ni wapiga deal.
Lakini anawa-du sana huko nje! nyumba ndogo kibao, halafu eti mke mmojaMbona yeye ana Mke mmoja tu?
Kuna wenye wake kadhaa na bado michepuko iko pale pale.Wengi wenye mke mmoja michepuko kibao nyuma yao. Afadhali Mchungaji ameongea ukweli japo ni mchungu.
Mkipigwa mtungo huwa mnalalamika mmebakwa..mwenzako juzi huko Arusha kapigwa miti hadi kafaAsante mchungaji na hili la mme mmoja ni kero pia maoni yako mchungaji hawafanyi kazi yao sawasawa.
Yakobo,ibrahimu,Solomon,Daudi ni mifano toshaLusekelo aoe tu mke Wa pili. Tunataka awe mfano kwa kauli yake na sio kuwapotosha wakristo.