Mibas
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,213
- 6,389
Mue na heshima sasa.Lusekelo katuchoka kwakweli
Mue na heshima sasa.Lusekelo katuchoka kwakweli
Mkipigwa mtungo huwa mnalalamika mmebakwa..mwenzako juzi huko Arusha kapigwa miti hadi kafa
Ni kweli, kama una 'tatizo' kuoa inageuka dhambi, na kama huna tatizo kuto oa ni dhambia pia !Hata kuoa tu kwangu mi naona tatzo sembuse kuoa wengi
Sio kama mazuzu mkuu, ni mazuzu kabisa hawa wako na mawazo mgando sana. Asemacho mchungaji kwao ni sawa tu. Mfano, kuna jirani amerudi toka kanisani anaanza kuazima simu, tunamuuliza vipi simu yako? Eti nimetoa sadaka kanisani sikuwa na hela (mchungaji alisisitiza mtu lazima atoe chochote alichonacho)Halafu waumini wake wanashangilia kama mazuzu
Usisahau Aulo alisema 'lile nilisemalo silitendi bali ......!Ukweli upi sasa. Hakuna ukweli wowote hapo.
"Basi kwa habari ya mambo yale mlioandika, ni heri mwanamume asimguse mwañamke. Lakini kwa sababu ya zinaa kilà mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe." 1KOR 7:1-2.
Mungu alimuumbia Adamu mke mmoja (Hawa), Mungu alikuwa ana uwezo wa kumuumbia zaidi ya huyo mmoja, ila hakufanya hivyo, kwa kuwa alijua Adamu ana moyo mmoja.
Huyu "anayejiita" mchungaji halafu anapotosha Neno la Mungu ni hatari sana. Tuchukue tahadhari!