NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,959
- 2,938
WOTE WAONGO TU,MAANA HATA YEYE KABLA YA KUSELFIE NA MUNGU WAJE ANGESELFIE NA MALAIKA KWANZA WALIO KARIBU NA HUYO MUNGU ALIYE JISELIFIE NAYE!
Yeye mwenyewe muongo ana ita wenzie waongo.MCHUNGAJI mmoja nchini Afrika Kusini, Paseka Motsoeneng, maarufu kama Pastor Mboro, ambaye alishawahi kudai kuwa alifika mbinguni na kupiga picha na Mungu (kwa kutumia simu – ‘selfie’) amempa changamoto mchungaji mwenzake raia wa Congo DR, Alph Lukau, anayeishi nchini humo ambaye hivi karibuni alijinasibu kumfufua marehemu.
Mchungaji Mboro amefika mbele ya Kanisa la Mchungaji Lukau na kumuomba Mungu awasamehe wachungaji wote waongo huku akisema amefika kanisani hapo kwa sababu anaona injili ya Mungu inachezewa huku akimtaka kama kweli ana uwezo wa kufufua basi amfufue Muasisi wa Taifa hilo, Nelson Mandela.
“Nimefika hapa kujua ukweli, hii miujiza ni uongo na kama si uongo nipe kidhibitisho, wacha tuongee kama watu wa Mungu, hii siyo sahihi, kwa niaba ya wachungaji wote na watu wa Mungu, waongo wote tusamehe,” amesema Pastor Mboro huku akiwa pembeni ya gari lake la kifahari BMW i8.
umeondoa furaha katika familia kabisa na ndoa nyingi zipo kama hazipo wamebaki walezi wa watoto lakini mapenzi hayapo tena. na wanawake wameongoza kuzivunja na kuondoa upendo bila kujua. wanawaona manabii na wachungaji kama Yesu mume tupa kule mwendo wa wachungajiWote hao manabii wa uongo. Ulokole umekuwa chanzo cha vurugu kubwa katika ukristo ni vigumu kujua nani ni nani siku hizi.
Mi nahitaji kuona mengi zaidi ya haya, haya madogo sana.Ukishaona hili na la lowassa kurudi kwao basi unaweza kufa kwa amani umeona mengi tayari
Nina Mwaka sijaenda kanisani. Nawaza namna ya kuanza kwenda kesho.Nikiona hizi habari za hawa wanajiita wachungaji ndo huwa nazidi kuchukia mambo yahusuyo dini kabisa SIKU HIZI SIPENDI KUHUDHURIA KANISANI KUPITA MAELEZO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo kaona yy kupiga selfie na Mungu ndo yuko sawa
Mi niliachaga kitambo mkuu naona kama vinanichanganya mind yanguNikiona hizi habari za hawa wanajiita wachungaji ndo huwa nazidi kuchukia mambo yahusuyo dini kabisa SIKU HIZI SIPENDI KUHUDHURIA KANISANI KUPITA MAELEZO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu tupige masanga mkuu dini ni ujinga na unafiki
Sisi wenyewe tukipiga masanga ndy tunaabudu mambo ya dini uzushi tuKaribu tupige masanga mkuu dini ni ujinga na unafiki
Tena wapiga masanga hatujawahi kuwa wanafiki kama hiyo mikondoo inajifanya ina upendo kumbe unafiki mtupuSisi wenyewe tukipiga masanga ndy tunaabudu mambo ya dini uzushi tu
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa sisi tutakupa ukweli tuTena wapiga masanga hatujawahi kuwa wanafiki kama hiyo mikondoo inajifanya ina upendo kumbe unafiki mtupu