Watubu tu hakuna jinsi. Maana sasa hata shetani ambaye ni baba wa uongo hawawezi.MCHUNGAJI AOMBA MUNGU AMSAMEHE KWA UONGO
Mchungaji Paseka Mboro wa Afrika Kusini aliyewahi kusema kuwa ameshawahi kwenda mbinguni na kupiga picha ya Selfie na Mungu kwa kutumia simu yake, kisha kuziuza kwa waumini wake kanisani, amemuomba Mungu amsamehe kwa uongo wake.
Mchungaji Mboro pia amemuomba Mungu awasamehe wachungaji wote waongo akiwemo Lukau aliyedanganya kumfufua mtu.
Mchungaji huyo amefanya maombi hayo akiwa amepiga magoti pembeni ya gari lake jipya aina ya BMX i8.
Mchungaji huyo wa nchini Afrika kusini, Pastor Mboro ambaye alishawahi kudanganya kuwa alifika mbinguni na kupiga picha aina ya Selfie na Mungu amempa changamoto mchungaji mwenzie raia wa Congo, Alph Lukau ambaye anaishi nchini humo ambaye hivi karibuni alijinasibu kumfufua mtu kwa kumtaka amfufue Nelson Mandela.
Mchungaji Mboro alifika mbele ya kanisa la mchungaji Alph Lukau na kumuomba Mungu awasamehe wachungaji wote waongo huku akisema amefika kanisani hapo kwasababu anaona injili ya Mungu inachezewa.
‘’nimefika hapa kujua ukweli, hii miujiza ni uongo na kama sio uongo nipe kidhibitisho, wacha tuongee kama watu wa Mungu’’ amesema Pastor Mboro
“hii sio sahihi, kwa niaba ya wachungaji wote na watu wa Mungu, na waongo wote tusamehe’’ amesikika akiomba mchungaji huyo huku akiwa pembeni ya gari lake la kifahari BMW i8.
View attachment 1036735
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiona hizi habari za hawa wanajiita wachungaji ndo huwa nazidi kuchukia mambo yahusuyo dini kabisa SIKU HIZI SIPENDI KUHUDHURIA KANISANI KUPITA MAELEZO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mboro bhana!!WOTE WAONGO TU,MAANA HATA YEYE KABLA YA KUSELFIE NA MUNGU WAJE ANGESELFIE NA MALAIKA KWANZA WALIO KARIBU NA HUYO MUNGU ALIYE JISELIFIE NAYE!
KITUKO
Siyo kama alienda KUONESHA gari lake jipya BMX i8. Maana Alph naye ni mtu wa magariMCHUNGAJI AOMBA MUNGU AMSAMEHE KWA UONGO
Mchungaji Paseka Mboro wa Afrika Kusini aliyewahi kusema kuwa ameshawahi kwenda mbinguni na kupiga picha ya Selfie na Mungu kwa kutumia simu yake, kisha kuziuza kwa waumini wake kanisani, amemuomba Mungu amsamehe kwa uongo wake.
Mchungaji Mboro pia amemuomba Mungu awasamehe wachungaji wote waongo akiwemo Lukau aliyedanganya kumfufua mtu.
Mchungaji huyo amefanya maombi hayo akiwa amepiga magoti pembeni ya gari lake jipya aina ya BMX i8.
Mchungaji huyo wa nchini Afrika kusini, Pastor Mboro ambaye alishawahi kudanganya kuwa alifika mbinguni na kupiga picha aina ya Selfie na Mungu amempa changamoto mchungaji mwenzie raia wa Congo, Alph Lukau ambaye anaishi nchini humo ambaye hivi karibuni alijinasibu kumfufua mtu kwa kumtaka amfufue Nelson Mandela.
Mchungaji Mboro alifika mbele ya kanisa la mchungaji Alph Lukau na kumuomba Mungu awasamehe wachungaji wote waongo huku akisema amefika kanisani hapo kwasababu anaona injili ya Mungu inachezewa.
‘’nimefika hapa kujua ukweli, hii miujiza ni uongo na kama sio uongo nipe kidhibitisho, wacha tuongee kama watu wa Mungu’’ amesema Pastor Mboro
“hii sio sahihi, kwa niaba ya wachungaji wote na watu wa Mungu, na waongo wote tusamehe’’ amesikika akiomba mchungaji huyo huku akiwa pembeni ya gari lake la kifahari BMW i8.
View attachment 1036735
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiona hizi habari za hawa wanajiita wachungaji ndo huwa nazidi kuchukia mambo yahusuyo dini kabisa SIKU HIZI SIPENDI KUHUDHURIA KANISANI KUPITA MAELEZO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Machame moja hiyo!!! Mboro amekiri kuwa yeye ni mwongo! Anaomba na Lukau akiri na kuomba msamaha!!Soyo mchaga huyu Mboro?