Ushuzi wa pasta unaongeza nguvu za kiume.😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wagalatia kuna muda tunazingua!!!!
Sasa hivi ukisoma bible yesu au mtume yeyote aliwahi kuuza maji ya upako?
Au kujambia watu ili waokoke?
Na mengine mengi wanafanya hawa mitume ni useless kabisa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Haya sasa Kula shuzi Hilo ukapate mke😂😂😂😂😂😂😂
wakati ulaya wanafunga makanisa!!!!Ugonjwa wa dini unazidi kukua kwa kasi.
Bwana Yesu alitema mate akatengeneza tope akampaka usoni yule kipofu akapona. Na mwishoni mwa huduma zake alisema yeye alifanya miujiza mingi lakini watakao kuwa na Imani ya dhati wataweza kufanya na zaidi. Kwa hiyo labda jamaa huyo kajiongeza kwa neno hili.Wenzetu wana mbinu nyingi za kuponya
Na hii sijui imetoka kwenye kitabu kipi
Kwa kujambia watu 😳Bwana Yesu alitema mate akatengeneza tope akampaka usoni yule kipofu akapona. Na mwishoni mwa huduma zake alisema yeye alifanya miujiza mingi lakini watakao kuwa na Imani ya dhati wataweza kufanya na zaidi. Kwa hiyo labda jamaa huyo kajiongeza kwa neno hili.
Kweli kabisa. Bid'aa ni za kupigwa vita, hazipaswi kupewa nafasi.Kitu kimoja ambacho tumefanikiwa ni kuleta dalili ya kile ambacho unakileta kwetu
Sisi hatuangalii Sheikh fulani kasema nini,tunaangalia je sunna za Mtume Muhammad rehma na amani ziwe juu yake zilisemaje kuhusu ibada fulani
Je,qur'an inasemaje hapo ndipo Uislamu ulipofanikiwa
Hama timu kiongozi, tutakupokea kwa mikono miwili na utakua ndugu yangu katika imaniNdio maana wagalatia tunabezwa, kudharauliwa na kuchekwa japo dini yetu ndio ya kweli. Cha kuhuzunisha wafuasi wa dini ya kusadikika na mungu wa kusadikika wana nidhamu na heshima ya hali ya juu kwenye ibada zao japo hizo sala zao zinaishia hewani.
NEVERHama timu kiongozi, tutakupokea kwa mikono miwili na utakua ndugu yangu katika imani