Dah inasikitisha sana kuna dada yangu yupo kanisa moja kitunda huko umwambii kitu na anasema huyo nabii hatokufa atapaa,yani hapo nikaona kweli sio akili zake na sijui kama hajamgonga manake anaongoza kushawishi watu waende kwa sgy.Na ubaya huwa hawasemi, wanawachukulia hao wachungaji kama miungu
Mkuu wew si huwa unawatetea sana hawa watu .leo imekuaje tena,..naona umefumbuka macho saaa,..ashukuliwe bwana
Yesu aliishi miaka zaidi ya 38.Yesu aliishi miaka 33 tu
Yesu aliishi miaka zaidi ya 38.
Sijawahi na sitakuja kwenda kwenye makanisa ya Mitume/Nabii.
Tujifunze kuomba ktk roho na kweli badala ya kutegemea miujiza.
Mungu atupatie macho ya rohoni kuwatambua manabii /wachungaji wanaotumia nguvu za kipepo
Unajua mm nashangaa wachungaji na manabii wa siku hzi wanamiliki majumba na magari Ya kifahari wakati Yesu alikuwa na kanzu moja tu miaka yote arobaini.
ndo maana haya makanisa hayana mahubili kila siku kutaja mafanikio kwenye mahubiri yao,na kusimanga watu.
kweli kweli kabisa hakuna ibada hapo
Pale Mwanza kuna huyo mchungaji fake baba God, classmate wa Gwajiboy enzi za sekondari na wabia kipindi kile wanaanza pamoja huo mradi wa injili fake kabla ya kutengana. Alichomfanyia jirani, muumini wake na school mate wake (Pendo B...) hakika Mungu anamwona popote alipo. Kisa ni kwamba baba God akiwa kanisani kwake aliwataka waumini wote wafumbe macho ili afanye alichokijua mwenyewe. Wengine walipofumba macho huyo Pendo akawa hakufumba na akashuhudia mambo ya ajabu yaliyokuwa yakifanywa na mchungaji na bahati mbaya wakagoganisha macho yao. Ndani ya siku chache binti akapoteza maisha. Wengi wa wanaomjua/waliomjua baba God wanafahamu kisa hiki.
Hadi leo ni miaka kadhaa sasa imepita haijulikani kama baada ya Pendo kufariki mchungaji mwenyewe yupo hai au alikufa. Na kama alikufa alikufa kifo cha kawaida au alipotezwa na system. Uliza yoyote alipo baba God hautapata jibu la uhakika.
Mkuu yesu alikaa miaka arobaini ?
Cha ajabu zaidi wanahubiri sana habari za mafanikio tupu bila kujua ktk maisha kuna uzima wa milele, ujio wa Yesu mara pili na kuna baadhi ya madhehebu kuna kiwango cha ulazima kutoa sadaka ndipo upatiwe huduma km vile inauzwa
Kinacho wapoteza wakristo ni kupenda miujiza.
Hili litakuja kuwagharimu sana na linawagharimu sasa.
Sio wachungaji tu hata wanasiasa,paedophillia iko associated sana na nguvu za giza.
Dah inasikitisha sana kuna dada yangu yupo kanisa moja kitunda huko umwambii kitu na anasema huyo nabii hatokufa atapaa,yani hapo nikaona kweli sio akili zake na sijui kama hajamgonga manake anaongoza kushawishi watu waende kwa sgy.
Kuna ma Yesu wengi sana, wengine hadi wanacheza mpira. Ila Yesu Kristo wa Nazarerh aliishi miaka 33.
Mkuu yesu alikaa miaka arobaini ?