Aisee..Kwaiyo ikawaje jamaa bado ana teseka au
Aiseeeee interestingPale Mwanza kuna huyo mchungaji fake baba God, classmate wa Gwajiboy enzi za sekondari na wabia kipindi kile wanaanza pamoja huo mradi wa injili fake kabla ya kutengana. Alichomfanyia jirani, muumini wake na school mate wake (Pendo B...) hakika Mungu anamwona popote alipo. Kisa ni kwamba baba God akiwa kanisani kwake aliwataka waumini wote wafumbe macho ili afanye alichokijua mwenyewe. Wengine walipofumba macho huyo Pendo akawa hakufumba na akashuhudia mambo ya ajabu yaliyokuwa yakifanywa na mchungaji na bahati mbaya wakagoganisha macho yao. Ndani ya siku chache binti akapoteza maisha. Wengi wa wanaomjua/waliomjua baba God wanafahamu kisa hiki.
Hadi leo ni miaka kadhaa sasa imepita haijulikani kama baada ya Pendo kufariki mchungaji mwenyewe yupo hai au alikufa. Na kama alikufa alikufa kifo cha kawaida au alipotezwa na system. Uliza yoyote alipo baba God hautapata jibu la uhakika.
Mm siku hzi naichunga roho yangu mwenyewe
Na nasikiliza mahubir ya wachungaji wazaman waliokua serious na mambo ya iman like moses kulola
Billy graham
Myles munroe
Hawa wakna gwajima
Sijui maji ya upakato
Sijui nani etc
Ahahaa hawanpati
Sadaka yangu natoa kwa wasiojiweza
Hafu am so blessed yaan hadi naogopa
Sijawahi na sitakuja kwenda kwenye makanisa ya Mitume/Nabii.
Tujifunze kuomba ktk roho na kweli badala ya kutegemea miujiza.
Mungu atupatie macho ya rohoni kuwatambua manabii /wachungaji wanaotumia nguvu za kipepo
Ndiyo maana siku hizi sipati binti wa kubikiri kumbe nyie Wachungaji Ndiyo mnawamaliza kila nikikutana na kabinti najua Haka Leo naenda kutoa Sili cha Ajabu Nakuta lango liko wazi Tena Mtoto ndiyo kwaaanza ananivuta kiuno niweke yote.
Unajua mm nashangaa wachungaji na manabii wa siku hzi wanamiliki majumba na magari Ya kifahari wakati Yesu alikuwa na kanzu moja tu miaka yote arobaini.
Kwaiyo ikawaje jamaa bado ana teseka au
Diana Spencer kuna ujumbe muhimu huku.
Mchungaji anavaa mlegezo, kofia kihuni, cheni, raba akitembea kisharobaro nakati ndiye kioo cha jamii.Masanja nae kawa mchungaji hadi anapata mialiko kwenda kupiga neno USA,duh..
Kinachoshangaza, Yule jini wa baharini kuchukua pesa, ina maana ujinini wanatumia Naira?