Mchumba wangu katumia namba nyingine kunitongoza

Mchumba wangu katumia namba nyingine kunitongoza

i dont want to see this post

  • i dont to see this post

    Votes: 0 0.0%
  • i dont want to see this post

    Votes: 2 100.0%

  • Total voters
    2
  • Poll closed .
Na wewe ulikubalije kwenda kuchukua chumba na mwanamke humjui? Lingekuja jini je?
 
Huo ni umalaya kabisa na akuache kabisa, hujaona unachukua chumba na ukiona siutakuwa unachukua vyumba.
 
Sijui kama ni mchumba sahihi kwako huyo. Wanawake tambueni kuwa sisi wanaume ni dhaifu sana linapokuja suala la mwanamke kukuwekea mitego.

Hata mitume akiwemo Mohammed na Jesus mitego ya wanawake iliwashinda kabisa???
 
Huyo hakuwa chaguo lako mkuu na bora MUNGU kakuonesha mapema kuwa hakuwa wako ana mwingine huyo.
 
Na wewe ulikubalije kwenda kuchukua chumba na mwanamke humjui? Lingekuja jini je?

Ni kweli chaashe usemavo, lakini mwanzoni nilikataa sana, yani kaning'ang'ania sana kuwa tumesoma wote chuo udom ingawa tulikuwa tushare baadhi ya koz, na nilishawahi mtengenezea laptop yake nilikuwa fundi, ivyo no yangu alikuwa nayo hivyo nimemsahau tu, nikakataa hadi kanishawish tukatane gest, kibinadamu nikawa dhaifu ka wanaume tulivyo kwa wadada, cjui hata nifanyeje
 
Kwani angekua sie mtarajiwa wako unge Fanya kweli eeh? Au ulienda kuhakikisha tuu?
 
Haya mambo ya kizamani siku hizi kuna true caller download app hiyo hutapigiwa na namba usijue ni nani
 
Mbona yeye ana mchumba ambaye ni wewe na amekutongoza?

Inakuaje wewe uliyekubali mtongozo wa mtu usiyemjua unaonekana una kosa...

Lakini yeye aliyeanzisha mtongozo kwa mtu asiyemjua anajiona yupo sahihi?

Kama unamuhitaji basi mgeuzie kibao kuwa na mbona yeye ana tabia ya kutongoza wanaume...je kashatongoza wangapi??

Hata hivyo siku nyingine bwana mdogo jaribu kuwa na akili yenye akili...usiwe unaingia mkenge kirahisi hivyo utakuja kuliwa uwemba watu waharibu heshima ya makalio yako...
 
Sasa na wewe ulianzaje chukua chumba kwa mtu usiyemjua.
Wewe ndo huna akili.
 
Sijui kama ni mchumba sahihi kwako huyo. Wanawake tambueni kuwa sisi wanaume ni dhaifu sana linapokuja suala la mwanamke kukuwekea mitego.

Hata mitume akiwemo Mohammed na Jesus mitego ya wanawake iliwashinda kabisa???

Acha uongo wewe, kama Muhamad yalimshida Usimtaje Yesu plz wapi Yesu kategwa na Mwanamke akashindwa?
 
Sijui kama ni mchumba sahihi kwako huyo. Wanawake tambueni kuwa sisi wanaume ni dhaifu sana linapokuja suala la mwanamke kukuwekea mitego.

Hata mitume akiwemo Mohammed na Jesus mitego ya wanawake iliwashinda kabisa???

unauhakika ndugu kuwa iliwashinda... source plz
 
mbona yeye ana mchumba ambaye ni wewe na amekutongoza?

Inakuaje wewe uliyekubali mtongozo wa mtu usiyemjua unaonekana una kosa...

Lakini yeye aliyeanzisha mtongozo kwa mtu asiyemjua anajiona yupo sahihi?

Kama unamuhitaji basi mgeuzie kibao kuwa na mbona yeye ana tabia ya kutongoza wanaume...je kashatongoza wangapi??

Hata hivyo siku nyingine bwana mdogo jaribu kuwa na akili yenye akili...usiwe unaingia mkenge kirahisi hivyo utakuja kuliwa uwemba watu waharibu heshima ya makalio yako...

utanivunja mbavu zangu ndugu
 
Mwambie kuwa ulikuwa hauendi kumgegeda, ulikuwa unaenda huko gesti kumpa kichapo. Na huyo demu wako kwa akili hiyo atakusumbua sana hata mtakapofunga ndoa. Nina experience na wadudu wa aina hiyo. Atakuwa anatongoza hata wafanyakazi wenzako (wa kike) kwa simu yako akiwatumia text za mapenzi, wakijibu friendly tu (kwa sababu wanakuheshimu hawawezi kukunyea) basi nyumbani itakuwa inakuwa kesi. Ogopa sana demu mwenye wivu na majaribu kuliko ibilisi. Atayafanya maisha yako kuwa living hell!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom