Mchumba wangu katolewa kizazi

Mchumba wangu katolewa kizazi

Such a predicament! Ukiskia the test of true love ndo hiyo.Inabidi ufanye some soul searching ujue how much you love her
 
Watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu. kama mnapendana muoe tu.
 
Mkuu we muache, mpe mtaji wa biashara halafu umwambie apige kimyaa halafu umwambie asiseme kama ana tatizo hilo, akipata mwanaume mwingine itakuwa ni "mbuzi kwenye gunia" kwa huyo mwanaume.
MJINI MIPANGO.
 
Because Of our unbelief mungu huwa anafanya hivi ili kukupima Faith yako dear, Faith without action is dead. So its up to him to decide. Hii issue in natural way inaoneka its impossible but in Faith is possible . People are healed from the cancer, HIV, dead people have Rosen again, sembuse kizazi ambacho hata Mimi niliambiwa hivyo hivyo na Doctor nchi za nnje, and tubes were completed removed and still here standing with my biological children what are you talking about. You people don't know nothing some of you, and it piss me off to see mnamkatisha huyu jamaa tamaa just because your own unbelief. Hakuna MTU atakayenidanganya hapa kuhusu Mungu because I saw him through my life and I will never stop to testify his Goodness because his Mercy and Grace are endures forever. Keep walking by sight instead by Faith. When you walk by sight you will never experience God's supernatural favors hata siku moja , because he who believes in him will never put him to shame hata siku moja. Thanks!
Umenibadili mawazo! Hivi hii story yako ulisha wai kuiweka hapa?
Akanana loveissweet! Umeolewa?
 
Last edited by a moderator:
hapo ni uongo mtupu,endapo ungesema kizazi kiliondolewa ktk harakati za abortion ungeeleweka vema.Sasa basi muombe Mungu ungoje miujiza au waonaje mpendwa.
 
fata ndoto zako... kama ulikuwa na ndoto za familia muache fastaa bila kukwepesha macho
 
Pole sana,upo kwenye kipimo cha upendo,ila watoto hawatakuja
 
Just think deeply ingekuwa Shida imepatikana kwako na ukaachwa kwa Shida iyo ungejisikiaje. Ndoa sio watoto you can adopt sio mbaya kama kweli unampenda endelea na mipango mlokuwa mnapanga na Mungu atakubariki kwa sbb these thing bana unaweza ukafanya otherwise na kule utakoenda ukute big prob na mtt usipate mwachen Mungu aitwe Mungu yote ya kesho anayajua omba hekima Yake itokayo juu ufanye uamuz sahihi. Pole my dear
 
Just think deeply ingekuwa Shida imepatikana kwako na ukaachwa kwa Shida iyo ungejisikiaje. Ndoa sio watoto you can adopt sio mbaya kama kweli unampenda endelea na mipango mlokuwa mnapanga na Mungu atakubariki kwa sbb these thing bana unaweza ukafanya otherwise na kule utakoenda ukute big prob na mtt usipate mwachen Mungu aitwe Mungu yote ya kesho anayajua omba hekima Yake itokayo juu ufanye uamuz sahihi. Pole my dear

I agreed dear with you kwenye kuomba hekima kwa mungu, you are so right ,dear . thanks!
 
Naona watu hapa wanazunguka mbuyu. Hawataki kukuambia ukweli kwambu hapa usitegemee miujiza yoyote kutoka kwa mungu. Yeye ndo aliweka hiyo njia kupitia mfuko wa uzazi animals wanapata watoto na si vinginevyo. So usije ukamuoa ukategemea muujiza hata siku moja.

Mimi mke wangu ana zaa, wote tunazaa, lakini tulizaa watoto wawili tu. Tumeasili mtoto mmoja kwa sababu kuna watoto wengi ambao hawana wazazi. Hakuna mtu anajua kama huyo si mtoto wetu wa kuzaa ukiachilia ndugu wa karibu.

Wote tunampenda kama wengine na anapendana na ndugu zake wote. Ni mwerevu na anavipaji kuliko hata watoto weti. We are proud of him.

To make it short bado mnaweza kuoana na mka asili watoto ambao watakuwa kama watoto wengine kwenye familia yoyote. Lakini you have to believe this. Kwamba kuwa baba siyo kutia tu na kuzalisha mwanamke. Kuwa baba ni zaidi ya hapo. Ni kumlea mtoto katika malezi bora na kumfikisha kwrnye ndoto zake. Wangapi wametia mimba na kukataa watoto?

Kama mnapendana mnaweza kuasili watoto na wakawPa confort katika maish kuliko waliozaa.
 
Back
Top Bottom