Kwa imani.With God everything is possible.Ndio maana anaitwa Mungu
Habari waungwana, naomba kusaidiwa kimawazo nifanye nini katika hili.
Nina mchumba wangu ambaye tumekuwa katika mahusiano kwa takribani miaka miwili na nusu, japo sijawahi kujitambulisha kwao mpango wa utambuzi ulikuwa ni mwezi huu wa November na mipango ilikuwa ishawafikia wazazi.
Hivi majuzi mchumba wangu aliugua gafla tumbo na baada ya vipimo alilazimika kufanyiwa upasuaji uliopelekea kuondoa mfuko wa uzazi ili kunusuru maisha yake.
Ukweli nimechanganyikiwa nini nifanye, hasa ikizingatiwa tunapendana sana.
Lakini nawaza je, ndo hatutapata familia yenye watoto kabisa kama tutaoana? Tafadhali hebu nijengeni kifikra.
Uliwahi kuona mtu anasimama bila miguu? au unaweza kuona bila macho? hakika hakuna uzazi bila kizazi.
Pole kwa yaliyokupata lakini upendo una nguvu kuliko jambo Lolote lile, unaweza owana na mwenye kikaz na bado msipate watoto Kwa maana watoto ni zawadi toka kwa mungu... Kumbuka mwenzio anakuhitaji sana katika kipindi hiki kigumu anachopitia
Imagine tatizo lingekuwa limekupata wewe alafu mwenzio akafikiria kukuacha, ungeumia kiasi gani?
Uliwahi kuona mtu anasimama bila miguu? au unaweza kuona bila macho? hakika hakuna uzazi bila kizazi.
Kama unaweza kuuambia mti ng'oka ukapandwe baharini na ukatii bila shaka hakuna kisichowezekana kwa Imani
Kama ndoa kwako sio kwa ajili ya watoto muoe, lkn kama familia ni muhimu basi usimuoe ili kumuepushia maumivu ya kuchepuka na kuzaa nje
Mmhhmm dear inawezekana through Jesus Christ . Asante!
Anazaa vipi?
Look everywhere dunia ina watu...na wengi wao hawana hata pa kuishi, hawana chakula, hawana wa kuwajali na hawaitaki hata dunia yenyewe. We are only human beings. Hatuwezi kumpa mtu maisha wala afya. Tunazaa ndio lakini pumzi ya uhai anaitoa Mungu. Yeye ndiye anayejua ni kwanini wewe una uwezo wa kuzaa na mwingine hana. Anajua ni kwanini leo wewe ukaishi na mwenzio akafa. Ukimtazama yeye Mungu. Nothing on earth will make ur heart down. Using'ang'anie kupata mtoto ilhali hujui destiny yake....
Just know children come from God. Na sababu ya ndoa si watoto.
Acha kumingiza mwenzio kwenye hisia na majibu yasiyo na tija kisayansi... marriage and sex were meant for offspring development and nothing else..... watoto wanakamilisha ndoa..... hizo siasa unazopiga hapo hazina maana..and FYI the successfull organism on Earth is the one which leaves as many off springs as possible, binadamu ni K- selected..
issue ya destiny wazazi(nyie ) ndo hupanga na mtoto akikua anaamua, it has nothing to decide whether to have kids or not........ sasa Circumstance isimforce aache kuzaa kisa sijui love, atakuja juta baadae au atamuumiza mwenzie vibaya sana kwani wote wanataka watoto lakni mmoja ni biologically functionless.. unless they are coming from first class society, bado relatives pressure itakuwa kubwa saana kuhandle....on top of that if he didnt know.. people learn to love with time ndo maana kuna divorce na infidelity, still the choice is his!!!!!
Waliweza sasa?
Remote watu wana imani humu jamvini balaa...! Engine imeng'olewa watu wanasema kwa imani gari itapanda mlima kitonga? Aaaah!