Mchumba wangu katolewa kizazi

Mchumba wangu katolewa kizazi

Habari waungwana, naomba kusaidiwa kimawazo nifanye nini katika hili.

Nina mchumba wangu ambaye tumekuwa katika mahusiano kwa takribani miaka miwili na nusu, japo sijawahi kujitambulisha kwao mpango wa utambuzi ulikuwa ni mwezi huu wa November na mipango ilikuwa ishawafikia wazazi.

Hivi majuzi mchumba wangu aliugua gafla tumbo na baada ya vipimo alilazimika kufanyiwa upasuaji uliopelekea kuondoa mfuko wa uzazi ili kunusuru maisha yake.

Ukweli nimechanganyikiwa nini nifanye, hasa ikizingatiwa tunapendana sana.

Lakini nawaza je, ndo hatutapata familia yenye watoto kabisa kama tutaoana? Tafadhali hebu nijengeni kifikra.

Lengo kubwa la kuoana ni kuzaa watoto.
uzuri ni kuwa hili tatizo limetokea bahati nzuri wewe umejua na mchumba wako. Kaeni chini mkubaliane mtafanyaje ikiwa yeye atashindwa kabisa kupata watoto. Naamini kama kweli mnapendana mtapata suluhisho, ikiwa ni pamoja na ku adopt, wewe kuzaa nje na kumleta mtoto mkamlea etc.
 
Kuna watu wanapenda kufanya mchezo na Mungu! Sasa kwanini wasifikiri Mungu ndio kaamua kitoke kizazi?

Because Of our unbelief mungu huwa anafanya hivi ili kukupima Faith yako dear, Faith without action is dead. So its up to him to decide. Hii issue in natural way inaoneka its impossible but in Faith is possible . People are healed from the cancer, HIV, dead people have Rosen again, sembuse kizazi ambacho hata Mimi niliambiwa hivyo hivyo na Doctor nchi za nnje, and tubes were completed removed and still here standing with my biological children what are you talking about. You people don't know nothing some of you, and it piss me off to see mnamkatisha huyu jamaa tamaa just because your own unbelief. Hakuna MTU atakayenidanganya hapa kuhusu Mungu because I saw him through my life and I will never stop to testify his Goodness because his Mercy and Grace are endures forever. Keep walking by sight instead by Faith. When you walk by sight you will never experience God's supernatural favors hata siku moja , because he who believes in him will never put him to shame hata siku moja. Thanks!
 
nini sababu ya kutolewa kizazi

Dear Kuna sababu nyingi za kutolewa uzazi ikiwemo kupasuka kwa Tubes, ovaries ,uvimbe, nakdhalika. Kwa jamaa amesema mchumba wake alikuwa na uvimbe ambao ungemsabibishia Cancer . Na hii ni possible kwa women wengi . Natumai nimejibu swali lako vizuri dear. Thanks!
 
Because Of our unbelief mungu huwa anafanya hivi ili kukupima Faith yako dear, Faith without action is dead. So its up to him to decide. Hii issue in natural way inaoneka its impossible but in Faith is possible . People are healed from the cancer, HIV, dead people have Rosen again, sembuse kizazi ambacho hata Mimi niliambiwa hivyo hivyo na Doctor nchi za nnje, and tubes were completed removed and still here standing with my biological children what are you talking about. You people don't know nothing some of you, and it piss me off to see mnamkatisha huyu jamaa tamaa just because your own unbelief. Hakuna MTU atakayenidanganya hapa kuhusu Mungu because I saw him through my life and I will never stop to testify his Goodness because his Mercy and Grace are endures forever. Keep walking by sight instead by Faith. When you walk by sight you will never experience God's supernatural favors hata siku moja , because he who believes in him will never put him to shame hata siku moja. Thanks!
Hebu tupe story yako sista. Na wewe uling'olewa kizazi? Ni viungo gani vilinyofolewa?? Na ilikuwaje hadi ukashika mimba? Mbina juzi kati uliandika kuwa hujihusishi/hujajihusisha na ngono...hao watoto wamekujaje, kwa miujoza??
 
Hebu tupe story yako sista. Na wewe uling'olewa kizazi? Ni viungo gani vilinyofolewa?? Na ilikuwaje hadi ukashika mimba? Mbina juzi kati uliandika kuwa hujihusishi/hujajihusisha na ngono...hao watoto wamekujaje, kwa miujoza??

Ni PM. Hii sasa hivi si topic yangu naomba tumpe heshima kaka yetu. Thanks!
 
Unataka kumuoa mchumba wako au unataka watoto?

Kipi muhimu zaidi kwako?

Kama unampenda mchumba wako kubali mtokeo, mfanye mpango wa ku adopt na mambo mengine kama hayo ya kubebea mimba kwa mwingine.

Kama unataka watoto na hutaki usumbufu zaidi tafuta mwanamke mwingine.
 
Dear Kuna sababu nyingi za kutolewa uzazi ikiwemo kupasuka kwa Tubes, ovaries ,uvimbe, nakdhalika. Kwa jamaa amesema mchumba wake alikuwa na uvimbe ambao ungemsabibishia Cancer . Na hii ni possible kwa women wengi . Natumai nimejibu swali lako vizuri dear. Thanks!

owkey kwa maana hiyo binti hatokuwa na uwezo wa kushika ujauzito
 
Ni PM. Hii sasa hivi si topic yangu naomba tumor heshima kaka yetu. Thanks!

Toa maelezo hapa kwa faida ya wote. Sidhani kama mtoa mada atakiwa na tatizo. Aweza pia kujifunza... Pm huwa siitumii kwa hiyo kila kitu hapa. tafadhali..!
 
Toa maelezo hapa kwa faida ya wote. Sidhani kama mtoa mada atakiwa na tatizo. Aweza pia kujifunza... Pm huwa siitumii kwa hiyo kila kitu hapa. tafadhali..!

Well if you can't use PM sorry to say that I wouldn't do it. Kwa wewe ndie uliyeuliza then jibu ulilitaka kulipata wewe sio ndio hivyo. Na kuhusu huyu kaka kama akiwa na swali zaidi niliyoyajibu atani PM. And then about my personal realtionship ,nilioileta hapa on JF , please go read my story again because i doubt it kama uliielewa vizuri , Good day . Thanks.
 
Acha kumingiza mwenzio kwenye hisia na majibu yasiyo na tija kisayansi... marriage and sex were meant for offspring development and nothing else..... watoto wanakamilisha ndoa..... hizo siasa unazopiga hapo hazina maana..and FYI the successfull organism on Earth is the one which leaves as many off springs as possible, binadamu ni K- selected..
issue ya destiny wazazi(nyie ) ndo hupanga na mtoto akikua anaamua, it has nothing to decide whether to have kids or not........ sasa Circumstance isimforce aache kuzaa kisa sijui love, atakuja juta baadae au atamuumiza mwenzie vibaya sana kwani wote wanataka watoto lakni mmoja ni biologically functionless.. unless they are coming from first class society, bado relatives pressure itakuwa kubwa saana kuhandle....on top of that if he didnt know.. people learn to love with time ndo maana kuna divorce na infidelity, still the choice is his!!!!!

You have made an impressive point I must say, but that is if you believe we are the same as other species.
Humans are not the same as other species(@ least that is what i believe). And by saying that we are not entirely guided by the laws of science which by the way are not complete because they were put by men and we haven't entirely understood how things in this world works.

The laws which I believe in dictates in Genesis 2: 18 The Lord God said, “It is not good for the man to be alone. I will make a helper suitable for him.”

No children were dictated in that equation when God decided to give Adam a wife. Walibarikiwa baada ya kuunganishwa ndio wakaambiwa wakazae. Ila Mungu hakumuumba Eva kwa sababu Adam alitaka mtoto.

Kama umeamua kuishi kama wanyama ni kweli ili specie yetu iendelee tunahitajika tuzae na tuzae...
Na kulingana na laws za evolution (You either change or die) Huyo bi dada hastahili kuishi kwa sababu hakuna njia anaweza kurudisha kizazi(Unless there is...)
Hata kisayansi I still can't belive kuwa hiyo couple moja isipozaa tutaface extinction!!!
 
muoe tu kama unampenda watoto mnaweza kuasili
 
Kama Ni Kweli Pole Sana Mkuu ILA Kama Wewe Ni Mwenye Imani TIMILIFU Na Siyo Ya KIPOPOMA Tafadhali Mpeleke Shemeji Yetu Kwa Watumishi Wa Mungu Wenye UPAKO Kwa Mfano Kwa Nabii Frola Na Nina Uhakika Huyo SUKARI Wako Atapona Na Kizazi Kitafanya Kazi Na UKIGEGEDA Tu Utazaa Nae MAPACHA 12!

Ama sijakuelewa? kumbe hata mtu akikatwa mguu watu wa upako wanaweza kuurudisha! asee kama ni kweli hii ni habari njema kwa watanzania.
 
Back
Top Bottom