Mchumba wangu katolewa kizazi

Mchumba wangu katolewa kizazi

Ish!!!....how?

Everything is possible for those who believes in God. I had scenario almost the same, but look what God he turned everything around . So don't make this young man to give up his love because of unbelief . i believe with all my heart they will have miracle children , they just have to stand up, to walk, and believe in God .Thanks!
 
Pole kwa yaliyokupata lakini upendo una nguvu kuliko jambo Lolote lile, unaweza owana na mwenye kikaz na bado msipate watoto Kwa maana watoto ni zawadi toka kwa mungu... Kumbuka mwenzio anakuhitaji sana katika kipindi hiki kigumu anachopitia
Imagine tatizo lingekuwa limekupata wewe alafu mwenzio akafikiria kukuacha, ungeumia kiasi gani?
 
Habari waungwana, naomba kusaidiwa kimawazo nifanye nini katika hili.

Nina mchumba wangu ambaye tumekuwa katika mahusiano kwa takribani miaka miwili na nusu, japo sijawahi kujitambulisha kwao mpango wa utambuzi ulikuwa ni mwezi huu wa November na mipango ilikuwa ishawafikia wazazi.

Hivi majuzi mchumba wangu aliugua gafla tumbo na baada ya vipimo alilazimika kufanyiwa upasuaji uliopelekea kuondoa mfuko wa uzazi ili kunusuru maisha yake.

Ukweli nimechanganyikiwa nini nifanye, hasa ikizingatiwa tunapendana sana.

Lakini nawaza je, ndo hatutapata familia yenye watoto kabisa kama tutaoana? Tafadhali hebu nijengeni kifikra.

My dear pole kwa hiyo mdada pamoja na wewe pia . I know right now its really hard to face it, trust me it will take a long time kuprocess hii issue . Hebu muamini Mungu, huwezi jua , I believe wote mmeanza kuface a trial before even marriage , thank God for that , because at the end you will have a testimony . Dear nimemuona mungu maishani kwangu trust me , naishi kwa testimonies dear, take from me . Mungu Bado yuko hai na anamove around hadi sasa hivi , just believe in him . Dear nimeona watu wangu sana walipitia kama hayo mnayopitia lakini mungu akawasikia vilio vya na kuwabariki watoto . Kuna couples nawajua kabisa walikuwa na same situation and remember this woman had multiples surgeries including hiyo ya kuondoa uzazi lakini after 5 years ya ndoa yao mungu akawabariki watoto Leo hii wana watoto 3 and they are happy family. Ninachotaka kusema Upendo, obedience, Harvest, And Faith are move God, .. The Doctor is results don't take as the final results dear, there is another doctor who is the best doctor than any doctors in this world nae ni Jesus . Nakushauri usiweke decision ambayo baadae utakuja juta na kukumbuka , ikaws too late to fix. Hebu omba kwanza na kumuuliza mungu ufanye nini katika hilo, mwaache roho wake asemezane nawe na yeye atajibu, rember mungu hawezi hata siku moja kumpa mwanadamu wake jaribu ambalo hatoliweza . Alikupa hilo jaribu kwa kuwa alijua hautalishindwa . Pole sana na kila la heri dear. Thanks !
 
nakushauri usimwache kwamaana imani yako ndo itawapa faraja na kukaaa kwa amani.kwa mungu hakuna linaloshindikana kwa maana mkiamua kukaa pa1 mnaweza hata mkawachukua watoto ktk vtuo au wanaoishi ktk mazingira magumu na mkawalea kwa furaha kama watoto wenu maana nyote mnajua nini mnafanya!!!

Ushauri mzuri saanaa. Umepita nilipotaka kupita. Maana mpaka hapo huyo KE aahapata msongo wa mawazo kwa kitendo cha kutolewa kizazi, na ukimuacha itakua ni pigo kubwa zaidi kwake maana kama ulivosema mlishaanza kufanya mikakati ya utambulisho na tatizo limetokea ghafla.
 
unaambiwa kizazi kimetolewa! imani hiyo imani gani yenye kumwezesha.mtu kuzaa pasipo kizazi?

Inawezekana na nimeshuhudia kwa macho yangu , kama aliweza kumfufua aliyekufa kabisa na alizikwa na still akafufuliwa. Why mungu ashindwe sasa, why?. Mjaribuni mungu nae hatokuwa mbali nawe.kuna couples wako pitia zaidi ya hili, huyo Dada aliondoshwa kizazi, pamoja na multiples other surgeries , walimlilia mungu na amewabariki 3 children naishi now hapa majirani zangu do what are u talking about. People God is still alive. Kwa sababu ya dhambi zetu hatuwezi kumuona mungu kirahisi akitenda miujiza . Asante!
 
Pole kwa kujikuta kwenye nafasi ngumu hivyo. Ila Yeye aliye juu alisema hatokupa jukumu lililo luzidi. Chakufanya Mungu akuongoze.
 
na wewe jitoe kizazi ili muwe wote hamna vizazi...mnakuwa mijoka ya kibisa mnatema tema mate tu kuuma hamuumi
duu wee Kigogo comment yako imenichekesha hadi imenitoa machozi
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana na nimeshuhudia kwa macho yangu , kama aliweza kumfufua aliyekufa kabisa na alizikwa na still akafufuliwa. Why mungu ashindwe sasa, why?. Mjaribuni mungu nae hatokuwa mbali nawe.kuna couples wako pitia zaidi ya hili, huyo Dada aliondoshwa kizazi, pamoja na multiples other surgeries , walimlilia mungu na amewabariki 3 children naishi now hapa majirani zangu do what are u talking about. People God is still alive. Kwa sababu ya dhambi zetu hatuwezi kumuona mungu kirahisi akitenda miujiza . Asante!

Asante kwa ufafanuzi.
 
ongea naye usikie kama atakuruhusu kuzaa kwa mchepuko
 
Pole sana ila ukiamua kumwoa hutakuwa na watoto km yuko tayar tafuta mwanamke uzae yeye alee!
 
Pole sana ndugu yangu.

Sijaelewa kama hicho kizazi kimeondolewa completely au partially kwa maana kizazi cha mwanamke kinajumuisha sehemu mbali mbali, na mara nyingi tuna refer UTERUS, sasa kama ovary bado zipo still kunaweza kuwa na hope kama ukiwaona ma specialist kwa maana kama anauwezo wa kuzalisha MAYAI, basi yai lake linaweza kutolewa na likapandikizwa kwa mwanamke mwingine pamoja na mbegu zako au kwa njia ya tube kwa kitaalam wanaita IVF au In-Vitro Fertilization.

Thanks, nimekupata boss
 
Hata Mimi nineshangaa Sana. Imani hii dah...kizazi kimetolewa completely afu unaniambia " kwa imani" duuh!

Kama unaweza kuuambia mti ng'oka ukapandwe baharini na ukatii bila shaka hakuna kisichowezekana kwa Imani
 
Pole sana ndugu yangu.

Sijaelewa kama hicho kizazi kimeondolewa completely au partially kwa maana kizazi cha mwanamke kinajumuisha sehemu mbali mbali, na mara nyingi tuna refer UTERUS, sasa kama ovary bado zipo still kunaweza kuwa na hope kama ukiwaona ma specialist kwa maana kama anauwezo wa kuzalisha MAYAI, basi yai lake linaweza kutolewa na likapandikizwa kwa mwanamke mwingine pamoja na mbegu zako au kwa njia ya tube kwa kitaalam wanaita IVF au In-Vitro Fertilization.

Good advice my dear , God is able kuna so many ways ambao mungu ameziweka kupata watoto, honestly just to waendelee kupendana na mungu hatowaacha kamwe . Thanks !
 
  • Thanks
Reactions: FHL
Back
Top Bottom