Mchumba wangu kabadilika sana simuelewi

Mchumba wangu kabadilika sana simuelewi

pole kipenzi, decent girl wanaume wote ndo walivo so cha msingi, focus kwenye maisha yako tu jikeep busy pia muombe sana Mungu, Atakupa Decent Man!
 
Trick hizoo hutumiwa sanhaa na wanaume#pind tuu wamchokapo mwanamke@ama kuna mwingine kampata au ana mfukuzia @@ni hayo tuuu...
 
huyo anakuacha mdogo mdogo ili usiumie sanah , kapata mwngne so cha msingi na wewe kamatia fursa , kama kuna mwngne anaonesha kukujali ng'ang'ana nae ila huyo si wako tena.
 
Angalia unakosea wapi,nini hapendi,unalazimisha nini ambacho hapendi au kabla ulikuwa hulazimishi au umeanzisha nini kipya ambacho mwanzoni hakikuwepo,angalia uwepo wa ndugu zako/zake katika mahusiano yenu pia huwa ni tatizo.Pia mshirikishe Mungu,maombi yanasaidia sana katika kila jambo kwenye maisha yako.
 
yaan my dear nimejitahid sana kuutumia uanamke wangu kumueka sawa lakn mwanaume mwenyewe hip hop yaan anavopenda hizo nyimbo za kina weusi sijui fid Q ndo moyo wake ulivo.. he's not romantic at all hata uige sauti ya Celine Dion bado mambo ni yaleyale.. m tired!!
teheeeeee heeeeeeeee heeeeeee kiruuuu.!
 
Tatizo lako ni hapo kwenye simu,umejuaje kabadilisha password? Kwani wewe unajianda kuwa mke au mpelelezi kwake? Ukikua utaacha ujinga na kumpata mtu ambaye kwake utabehve kama mke na sio mpelelezi
 
Polee mumy huyo tiyari kesha pata kiburudisho kipya. Shukuru Mung toa sadaka kanisan omba Mungu akupe aman anza maisha mapyaa. Mungu no mwaminifu utamsahau na life itasonga mbelee

Sasa mimi mume kabisa wa ndoa yeye yuko bize na kazi tu,anaweza kaa siku hata tatu wala haijulii hali familia ukimuuliza anadai kazi za watu anafanya,nimechoka am looking for another side of the coin
 
decent girl wanaume tupo wengi tu waswahili wanasema prnda unapopendwa huyo anakupotezea muda jiongeze sepa
 
Last edited by a moderator:
Sasa mimi mume kabisa wa ndoa yeye yuko bize na kazi tu,anaweza kaa siku hata tatu wala haijulii hali familia ukimuuliza anadai kazi za watu anafanya,nimechoka am looking for another side of the coin

pole Mkuu, ila kwa ww ambae uko ndoani vumilia tu
 
Uwe unapenda nusu mamy wang , hawa watu co wakuwaamin hata cku moja chamhim kuwa bz na shughuli zako
 
pole kipenzi, decent girl wanaume wote ndo walivo so cha msingi, focus kwenye maisha yako tu jikeep busy pia muombe sana Mungu, Atakupa Decent Man!

Eti wanaume wooote ndivyo walivyo Hahahahah! Asante kwa kujuisha na pia wanawake woote ndyo walivyo that's why kuna ka msemo kanasema "wanawake mwalimu wao ni kipofu"
 
Habari za humu wana MMU.

Mimi binafsi sijawahi kutoa thread yoyote hapa MMU ila Leo nimeona nije mnipe ushauri.

Mimi ni ke nina mchumba wangu nimedumu naye almost a year ila siku za hivi karibun nimekuwa simwelewi kabisa, kwa mfano nimeenda kwake lakiin haonyeshi furaha uwepo wangu, ninachomuuliza ndicho anachojibu, anaweza akakaa siku nzima bila kunisemesha mpaka nianze mimi kuongea.

Yaani hii hali inaniuma na kuninyima amani ndani ya moyo wangu na nikimuuliza nimemfanya nini kwanini kabadilika hivyo anasema hakuna kitu, mwanzoni tulikuwa tunashikiana simu ila safari hii yeye simu yake kaweka password kila kona.

Kwa kweli nashindwa kumuelewa yaani sina amani ya moyo.

Naomba ushauri nifanyeje maana mpaka hapa nimeshachoka maana moyo wangu si wa chuma.

Dah! Huyo mchumba wako yuko kama mm! Huyo atakuwa amekuchoka au amepata msichana mrembo aliyekuzidi vigezo! Hivyo mpe muda wa kutosha, punguza mawasiliano na kuonana naye mara kwa mara, kwa ufupi endelea na ratiba za maisha yako, then utaona matokeo!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom