Mchumba wangu kabadilika sana simuelewi

Mchumba wangu kabadilika sana simuelewi

Pole sana dadangu,siku zote asiyetambua thaman ya upendo wa mwenza wake bac hajui thaman ya kupenda pia,ila lazima atakuwa na mtu anayempenda ndo maana hakuthamin na anaona kama unampotezea muda tu,be careful sasa na ufunguke hapo
 
Haiwezi kuwa imeanzia kusikojulikana hii hali - lazima kuna jambo umemkorofisha. tatizo ulilonalo ni kushindwa kuelewa kinachomkasirisha au kumkera mpenzi wako - fanya flash back ya mazungumzo mliyofanya karibuni kabla ya kufikia hatua hii utaona. wanaume hawapendi wanawake wajeuri/korofi/bishi/sioheshimu
 
Pole sana rafiki kuna dalili ambazo ukiziona unatakiwa tu uelewe mapenz yameisha ndio kama izo , inaonesha hana feelings zozote tena kwako ndio maana hajali uwepo wako, my friend life is too short go on with ur life usihangaike kuna watu wanapendwa ila hawajielew wakat wenzao wanatamani hizo nafasi, he doesn't worth ur love, relaax mpe nafasi afanye yake na wew fanya yako.
 
ndio USHA'KATWA HIVYO BEST..... mwenzako tayari ana Majina yake Mfukoni.

Poleeeee
 
Pole sana rafiki kuna dalili ambazo ukiziona unatakiwa tu uelewe mapenz yameisha ndio kama izo , inaonesha hana feelings zozote tena kwako ndio maana hajali uwepo wako, my friend life is too short go on with ur life usihangaike kuna watu wanapendwa ila hawajielew wakat wenzao wanatamani hizo nafasi, he doesn't worth ur love, relaax mpe nafasi afanye yake na wew fanya yako.

Nashukuru Mkuu, nimeamua kumsahau na sa HV nahis Nina amani ya moyo
 
Ah ah aha ha ah tusamehe jamani, huwezi jua nini tunapitia ndio maana tukawa hivyo labda... jiulize kwa nini kama hakutaki hajakuambia iwe ndio mwisho?

nami ndo nashangaa kwann mtu asiseme basi tena kuliko kukaa kimyaa,, aah wanaboa!!
 
Acha ukome. Miezi miwili yote hujaonana nae unadhani wengine hawamuoni? Nyie watu sijui mkoje? Hapo ukute haukuwa mbali nae ukute ni ndaninya mji mmoja!
 
Acha ukome. Miezi miwili yote hujaonana nae unadhani wengine hawamuoni? Nyie watu sijui mkoje? Hapo ukute haukuwa mbali nae ukute ni ndaninya mji mmoja!

tuko mbalimbali Mkuu mi nipo dar ye anafanya Kaz Zanzibar na pia huo muda wote ni kutokana na mfungo
 
Hakuna bright future hapo. kama hujuwahi muumiza basi angalia hamsini zako. tafuta wa kujenga naye maisha siyo wa kubabaisha
 
pole habibty waswahili wakwetu Zanzibar wana msemo wanasema akufukuzae hakwambii toka utaona mamboye yamebadilika waweza ukae huwezi ondoka

mimini mama w watoto watatu na ahamdulillahi niko ndoani wanaume nawajuawani nilishapitia mitihani mini nakushauri ufaye hivi

kaa kama wiki bila ya kumuulza chochote japo unaumia lakini jikaze usimuulize kitu, akikutauta mhoji kwa upoe kulkoni huenda kuna watu washalisha maneno mabaya juu yako atakambia

akiendelea hivyo hivyo anza mbele usimbembeeze sana akakuumiza

kwa kawaida kipindi cha uchuma watu huficha makucha yao sasa kama anaanzisha zarau mapema kuwa na tahadhari
 
wanasemaaga ulishaona rais anafannya kampeni na huku kesha chukua ushindi. usikute na wew ulimmegea kabla hajaisinishwa na wakula. ooh ila pole sana kwa hilo fannya maamuz jipange upyaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom