Mchumba wangu kabadilika sana simuelewi

Mchumba wangu kabadilika sana simuelewi

Kwa nini mnajificha ficha eti mchumbaaa wangu
Shiiiit huyo ni hawala yako

Rudia kuandika usema hawal yako

Rubbishi
 
Tatizo ameona huishi bila yeye nakupa ushauri nenda kwake fanya kila kitu ila uwe bubu usimsemeshe hadi ukimuandalia chakula unaweka mezani tu kibubu humsemeshi hata ukilala bado kibubu unalala ukiamka bubu yaani kila kitu fanya mgomo
 
Habari za humu wana MMU.

Mimi binafsi sijawahi kutoa thread yoyote hapa MMU ila Leo nimeona nije mnipe ushauri.

Mimi ni ke nina mchumba wangu nimedumu naye almost a year ila siku za hivi karibun nimekuwa simwelewi kabisa, kwa mfano nimeenda kwake lakiin haonyeshi furaha uwepo wangu, ninachomuuliza ndicho anachojibu, anaweza akakaa siku nzima bila kunisemesha mpaka nianze mimi kuongea.

Yaani hii hali inaniuma na kuninyima amani ndani ya moyo wangu na nikimuuliza nimemfanya nini kwanini kabadilika hivyo anasema hakuna kitu, mwanzoni tulikuwa tunashikiana simu ila safari hii yeye simu yake kaweka password kila kona.

Kwa kweli nashindwa kumuelewa yaani sina amani ya moyo.

Naomba ushauri nifanyeje maana mpaka hapa nimeshachoka maana moyo wangu si wa chuma.
njoo pm tuanzishe mahusiano mimi na wewe ila uwe mzuri na mchangamfu,
 
SOMETIMES HUWEZI JUA, PENGINE ANA STRESS ZA LIFE, mm mwenyewe nikipigwa na stress za maisha nakua nakosa amani, sitamani demu ata kuongea nae nahisi kama ananizingua, mpaka Mwisho anakua ananiuliza maswali mengi tu, huwa muda mwengine natamani nimuache but sijui kosa lake nn, stress kitu kibaya sana
 
Kabla hujakurupuka. Na wewe kaa kimya, kama wiki au siku tatu. complete radio silence. najua ni ngumu, ila jarib hivyo uone..
 
Mapenzi ya kweli siku hizi kwa wanaume hamna ndo maana unaona inakuwa hivi
Mapenzi ya dhat kwa wanaume yako dada tena sana tu. Sema mwanaume uliekutana nae sio. Si wanaume wote hawana mapenz.

Just like me, nilipojitolea kumpenda kwa kila kitu, nilimpenda sana yule dada. Na mahari nikatoa. Mwisho wa siku nikaachwa bila sababu na akaenda kuolewa na mwingine. Sikuwahi kuambiwa sababu mpaka leo.

Lakin sijachoka kuamini katika love. True love exists.. muda wako haujafika.
 
Mkuu ye ndo Wa kwanza ila mpaka hapa nishachoka na simuhitaji tena kwakweli maana mambo anayoyafanya hapaswi kufanyiwa mtu na moenzi wake, toka Jana sijawasiliana nae na nahis roho yangu ina amani kabisa
Mama pole. Siku zote ukiona mwenzi wako kapunguza mawasiliano ujue ni dalili mbaya. Yaan lile penzi lako ndio linachuja kwake.. pia ni njia ya kukwambia kuwa hakutaki lakini kwa vitendo.

Umenikumbusha mapito niliyopita muda miez michache iliyopita. Tofauti yule ni mwanamke. Mazoea yanapungua ,mapenz yanapungua, mtu anajisogeza mbali na ww...

Basi wala usimlazimishe.. si anasema hana shida. Kaa pembeni endelea na maisha. Atakuja mwenyewe...
 
my dia wanaume wanaongoza bhana
Wanaume hawaongozi. Hulka za watu wanatofautiana. Hapo ulipo nina uhakika huwajatoka hata na wanaume watano, mwanaume mmoja tu kakutenda unashtaki wote...

Mbona baadhi ya wanaume tuliotendwa hatushtaki wanawake wote kuwa ni malaya..?

Think twice ma.. just tu hujakuna na mtu anaejua dhamani yako
 
Mkuu kwangu huyu ni Wa kwanza na nimepanga na kumshirikisha pia mungu mipango yangu kwamba Wa pili ndo atakuw mume.. eeh mungu nisaidie
Kama ndio wa kwanza. Bado haujakomaa... na kwa taarifa yako tu. Unasafari ndefu sana mpaka uje kukomaa kwenye mapenzi. Karib kwenye ulimwengu wa malove..
 
Haiwezi kuwa imeanzia kusikojulikana hii hali - lazima kuna jambo umemkorofisha. tatizo ulilonalo ni kushindwa kuelewa kinachomkasirisha au kumkera mpenzi wako - fanya flash back ya mazungumzo mliyofanya karibuni kabla ya kufikia hatua hii utaona. wanaume hawapendi wanawake wajeuri/korofi/bishi/sioheshimu
Unajua kaka kinachoumizaga. Ni mpenz wako kukataa kusema tatizo ni nini. Yaani unauliza anasema yuko sawa wkt hali inaonekana si nzuri. Kama mpenz wako mwenyewe aonyeshi ushirikiano, anakuficha.. inakuwaje sasa
 
pole kipenzi, decent girl wanaume wote ndo walivo so cha msingi, focus kwenye maisha yako tu jikeep busy pia muombe sana Mungu, Atakupa Decent Man!
Si wanaume wote walivyo. Huwa mnakariri ujinga.
Mwanaume mmoja asikufanye uchukie wote..
Si wanaume wote ni wabaya, wneye mapenz ya dhati na upendo wapo pia. Na wabaya wapo pia.
Sawasawa na sisi wanaume tulioumizwa tuseme wanawake wote ni malaya, wakati si kweli.
 
Pole sana.

Situation unayopitia inawakuta wengi. Jaribu kufatilia nyayo zake lazima utandua kitu.

Weather jamaa anafanya cheating au yupo na mwanamke mwingine naweza sema mzuri zaidi yako. Au ana mwanamke mwingine na huyo Mwanamke kamuuzi kwaiyo hasira zimehamia kwako.

Once kama unampenda endelea naye atarudi katika hali yake ya kawaida. Kama humpendi mwache tu mbona wanaume wengi tu.

Samahani kama ushauri wangu unakukosesha Amani. But sometimes inabidi uchukue maamuzi magumu. Never let your heart control your Head.

Hayo tu kazi kwako.
 
Kuna kitu umemnyima sasa anapewa na mtu mwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom