Mchumba wangu kabadilika sana simuelewi

Mchumba wangu kabadilika sana simuelewi

Mkuu ye ndo Wa kwanza ila mpaka hapa nishachoka na simuhitaji tena kwakweli maana mambo anayoyafanya hapaswi kufanyiwa mtu na moenzi wake, toka Jana sijawasiliana nae na nahis roho yangu ina amani kabisa

Acha uongo! Bado unamhitaji!
 
Sometimes men just need some space, hapo mwanzo,kila kitu huwa fine its kinda normal, ila muda unapokwenda, unabidi usome mchezo from the perspective kama unadhani hakucheat decent girl
 
Last edited by a moderator:
Sometimes men just need some space, hapo mwanzo,kila kitu huwa fine its kinda normal, ila muda unapokwenda, unabidi usome mchezo from the perspective kama unadhani hakucheat decent girl

sawa boss!!!
 
Last edited by a moderator:
Kwenye mapenzi hakunaga toka! Jimuvuzishe fasta!! Kibuti mchunio hikoo!! Tye! Tye tye!!
 
habari za humu wana mmu.

Mimi binafsi sijawahi kutoa thread yoyote hapa mmu ila leo nimeona nije mnipe ushauri.

Mimi ni ke nina mchumba wangu nimedumu naye almost a year ila siku za hivi karibun nimekuwa simwelewi kabisa, kwa mfano nimeenda kwake lakiin haonyeshi furaha uwepo wangu, ninachomuuliza ndicho anachojibu, anaweza akakaa siku nzima bila kunisemesha mpaka nianze mimi kuongea.

Yaani hii hali inaniuma na kuninyima amani ndani ya moyo wangu na nikimuuliza nimemfanya nini kwanini kabadilika hivyo anasema hakuna kitu, mwanzoni tulikuwa tunashikiana simu ila safari hii yeye simu yake kaweka password kila kona.

Kwa kweli nashindwa kumuelewa yaani sina amani ya moyo.

Naomba ushauri nifanyeje maana mpaka hapa nimeshachoka maana moyo wangu si wa chuma.
bora uje kwangu mim niko serious
pm tuondoke
 
Mm mwenyewe. ALINILETEA NYODO NIKANYUTI KIMYA MPAKA SASA ILA KUMBE KUNA NJEMBA INAJIPATIANULAJI NIKAJISEMEANEMOLA NASHUKURU UMENIOKOA
MAANA NINGEJIFANYA NAJIFUNGA NAE KILA SIKU NINGEKUA NAANDIKA THREAD HAPA NDANI
 
Na wewe kaa kimya kuwa busy na mambo yako. Kama anakupenda atakutafuta ukiona kimya ujue una umuhimu kwake.Kama kapangwa kuwa wako atakua tu usilazimishe.
All the best
 
&[HASHTAG]#128514[/HASHTAG];&[HASHTAG]#128514[/HASHTAG];&[HASHTAG]#128514[/HASHTAG];&[HASHTAG]#128514[/HASHTAG];&[HASHTAG]#128514[/HASHTAG];&[HASHTAG]#128514[/HASHTAG];&[HASHTAG]#128514[/HASHTAG];.pole wangu.ila kwa hii comment yako nimejikuta nnacheka.
 
Simu kaweka password kila mahali bado hujui, huyo ana mwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom