decent girl
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 302
- 139
- Thread starter
- #101
Hahha kumbe tupo wengi imetuchekesha hii.ilinibidi nitoe neno kwa kweli.haaaa
Mkuu kwangu huyu ni Wa kwanza na nimepanga na kumshirikisha pia mungu mipango yangu kwamba Wa pili ndo atakuw mume.. eeh mungu nisaidie
Yeah if you walking by faith everything will be ok
vuta subira utawapata wanaohitaji mm kwa sasa sihitaji kwanza nimewachukia kupita maelezo
Mkuu kwangu huyu ni Wa kwanza na nimepanga na kumshirikisha pia mungu mipango yangu kwamba Wa pili ndo atakuw mume.. eeh mungu nisaidie
Habari wana jukwaa la MMU,
Mimi nina mpenzi nimedumu nae kwa takribani mwaka mmoja sasa, ila siku za hivi karibuni mwenzangu kabadilika sana kupita kawaida.
Majuzi nimeenda kwake lakini hakuonyesha kujali uwepo wangu na ukizingatia ni miezi miwili ilipita hatujaonana. lakini pia ndani amani hakuna unachomsemesha ndo anachojibu.
Anaweza akakaa kimya siku nzima mpaka uanze wewe kuongea, yeye yuko busy na laptop na simu basi kiukweli nakosa amani ya moyo na nikimuuliza " what's wrong mbona umebadirika hivyo?" anajibu," Nothing".
Mwanzoni tulikuwa tukishikiana simu lakini yeye ya kwake ametia password kila kona.yaani mpaka najiuliza nitakaa maisha haya mpaka lini nakosa amani ya moyo kabisa.
Naombeni ushauri wenu
Asanteni
Mkuu umesema vzr kwa sasa uhitaji. Ni vyema kwa sababu unahitaji muda kuponya Hilo pito. Mwisho Mungu akusaidie hiyo chuki isipate nafasi kubwa, kwa sababu chuki Ni Mbaya.
Kumbe wewe bado teenager.!!
Muulize kama amepima ukimwi huyo maana inawezekana majibu sio mazuri ndio maana yupo hivyo
amini nakwambia baada ya oct 25 atarudi kwenye hali yake ya kawaida............😛eep:
asante kwa mchango Mkuu ila cjui kama nitawapenda Hawa viumbe
hahahaa yeye hatumii jamii forum
achana nae
haya, nashukuru sio wewe maana hata mie nalalamikiwa na tuhuma kama zako