Mchumba wangu kabadilika sana simuelewi

Mchumba wangu kabadilika sana simuelewi

Polee mumy huyo tiyari kesha pata kiburudisho kipya. Shukuru Mung toa sadaka kanisan omba Mungu akupe aman anza maisha mapyaa. Mungu no mwaminifu utamsahau na life itasonga mbelee

Nashukuru sana Mkuu Nina iman nitamsahau maana sio mm Wa kwanza
 
Pole, huyo anakucheza. Shukuru Mungu umeyaona dalili mapema hata wewe mlenge maybe atawashwa ajirudishe.
 
Aisee pole sana. Kuna umuhimu watu waanzishe rehabilitation centers through groups, whether on whatsapp or wherever, msaidiane. Kwa sababu matatizo mengi yanafanana.
 
pole sana mapenzi yanatesa sanaaa utapata chaguo lakoo
 
Habari wana jukwaa la MMU,

Mimi nina mpenzi nimedumu nae kwa takribani mwaka mmoja sasa, ila siku za hivi karibuni mwenzangu kabadilika sana kupita kawaida.

Majuzi nimeenda kwake lakini hakuonyesha kujali uwepo wangu na ukizingatia ni miezi miwili ilipita hatujaonana. lakini pia ndani amani hakuna unachomsemesha ndo anachojibu.

Anaweza akakaa kimya siku nzima mpaka uanze wewe kuongea, yeye yuko busy na laptop na simu basi kiukweli nakosa amani ya moyo na nikimuuliza " what's wrong mbona umebadirika hivyo?" anajibu," Nothing".

Mwanzoni tulikuwa tukishikiana simu lakini yeye ya kwake ametia password kila kona.yaani mpaka najiuliza nitakaa maisha haya mpaka lini nakosa amani ya moyo kabisa.

Naombeni ushauri wenu

Asanteni

Pole sana
Hebu nawe mchunie asipobadilika chukua hatua huyo ana mtu mpya
 
Una miaka mingapi? huyo ndio mwanamme wako wa kwanza? nini kikubwa utakosa kwake kwamfano ukiachana nae ambacho kwa wengine huwezi kupata?
Kwa upeo wako unahisi vituko anavyo kufanyia ndio anavyotakiwa kufanyiwa mtu na mpenzi wake?
 
Una miaka mingapi? huyo ndio mwanamme wako wa kwanza? nini kikubwa utakosa kwake kwamfano ukiachana nae ambacho kwa wengine huwezi kupata?
Kwa upeo wako unahisi vituko anavyo kufanyia ndio anavyotakiwa kufanyiwa mtu na mpenzi wake?

Mkuu ye ndo Wa kwanza ila mpaka hapa nishachoka na simuhitaji tena kwakweli maana mambo anayoyafanya hapaswi kufanyiwa mtu na moenzi wake, toka Jana sijawasiliana nae na nahis roho yangu ina amani kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom