Ustaadh..!!!??
Fruitless.
Ye Usataadh ndo kakolea kwenye dini, wategemea utaambiwa nini?
Tena waweza kuta huyo ustaadh ana wake watatu, sasa hapo unafikiri atakuwa na msaada gani na wewe?
Na wazazi wako washapokea mahari, kwa jinsi unavosema kuwa taratibu zote tayari.
Licha ya hiyo ni waumini wa hiyo dini... watakuwa na msaada kwako?
Mtu pekee wa kukupa msaada
Madam zero, ni wewe mwenyewe!
Kama uko tayari kuwa na ndoa ya za wake wengi (kumbuka baada ya huyo wa pili ataongeza tena, na tena...who knows?), basi kubali olewa uishi na mumeo na wapende wake wenza wako.
Kama hauko tayari kwa hilo,
Madam zero, bado hujaolewa... ni uchumba tu. Hakuna talaka kwenye uchumba. Maisha ni yako, raha ni yako, tabu ni zako, wivu ni wako... si wazazi, si shehe wala yeyote atakaye feel maisha yako. FANYA UAMUZI.