Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 3,990
- 8,087
Mzee shida wanaonaga vitu halafu hawana uwezo wa kuvizuia, eg alimuona mama ake ana huzuni, ila asingeweza zuia kifo cha kaka ake,Binafsi naogopa Sana watu waonaji( watabiri)
Yaani unakuta mtu anakutabiria kwamba utakutwa na Jambo zito Sasa badala ya kukupa muongozo jinsi ya kuliepusha lisitokee yeye anajikalia tu kimya.
Very pathetic!
Alimuona jamaa hospital, ila hata hakujua alienda hospital kwa kuumwa ah kurogwa