Mchumba wangu ana karama ya unabii, ananitisha!

Binafsi naogopa Sana watu waonaji( watabiri)
Yaani unakuta mtu anakutabiria kwamba utakutwa na Jambo zito Sasa badala ya kukupa muongozo jinsi ya kuliepusha lisitokee yeye anajikalia tu kimya.
Very pathetic!
Mzee shida wanaonaga vitu halafu hawana uwezo wa kuvizuia, eg alimuona mama ake ana huzuni, ila asingeweza zuia kifo cha kaka ake,

Alimuona jamaa hospital, ila hata hakujua alienda hospital kwa kuumwa ah kurogwa
 
Binafsi naogopa Sana watu waonaji( watabiri)
Yaani unakuta mtu anakutabiria kwamba utakutwa na Jambo zito Sasa badala ya kukupa muongozo jinsi ya kuliepusha lisitokee yeye anajikalia tu kimya.
Very pathetic!
Kuna wanaipewa na njia ya kuzuia ila ukimwambia mtu haamini, basi unaacha lipite

Mwaka jana mwezi km wa 3-4 nilimuotea ndg yangu akiuawa kwa risasi mazingira ya kazini kwake, niliposhtuka nikasikia sauti ndani yangu ikisema nimpe tahadhari abadili tabia zake hasa watu wa kazini kwake ama la watamuua, nikamwambia akapuuza mwaka huu mwezi wa 2 katikati amefariki kwa ajali ya kutatanisha
 
Wakuu habarini za wakati huu...

Niliwahi kuleta Uzi humu kuhusu mchumba wangu ambaye ni Mcha Mungu, bikira, mpole, mkarimu, mzuri n.k.

Nimegundua kwamba huyu mwanamke ana karama ya unabii pia (muonaji). Zamani manabii waliitwa waonaji.

Kwanini nimefikia hii conclusion? Mjomba wangu alikuwa anaumwa, yaani kaka yake mama yangu. Siku Moja kabla ya kifo cha mjomba wangu, mchumba wangu akanipigia simu kunimbia anaona huzuni KUBWA Kwa mama yangu, kesho yake mjomba akafariki, kweli mama aliumia sana!

Mimi ni Wakili, nilikuwa na kesi Tanga Jana, kabla sijaondoka akanipigia simu kuniambia anaona vita KUBWA kwenye hiyo kesi, na ananiona Niko hospitalini! Baada ya kesi, ule upande wa pili wakaniomba tuonane nje ya Mahakama nikiwa na mteja wangu ili tufute kesi tuyazungumze, kweli tukaenda kuonana nao, nikawekewa sumu kwenye kinywaji changu, nikapelekwa hospitalini kweli na nikalazwa, Sasa hivi ndio wameni-discharge.

Hayo ni machache tu kati ya mengi. Ama kweli, ukimtanguliza MUNGU mbele HUWEZI kuikataa taasisi ya NDOA. NDOA ni baraka.

Huyu nikimuoa inabidi niwe makini sana

Muwe na jioni njema.
Atuambie 2025 Rais ni nani
 
Binafsi naogopa Sana watu waonaji( watabiri)
Yaani unakuta mtu anakutabiria kwamba utakutwa na Jambo zito Sasa badala ya kukupa muongozo jinsi ya kuliepusha lisitokee yeye anajikalia tu kimya.
Very pathetic!
Kuna Demu alinitabiriaga kitu aliota kuhusu mimi akaniambia sali nikapuuzia yaliyonikuta hawa watu siwapuuzii aisee
 
Yaani umesema ulienda kupata kinywaji na watu ambao ndo washindani wako kwenye kesi.😂 ulifata ule msemo wa mchawi mpe mwanao amlee.
 
Mzee shida wanaonaga vitu halafu hawana uwezo wa kuvizuia, eg alimuona mama ake ana huzuni, ila asingeweza zuia kifo cha kaka ake,

Alimuona jamaa hospital, ila hata hakujua alienda hospital kwa kuumwa ah kurogwa
Very brilliant observation!

Asante kwa kunisaidia kufafanua mkuu.
 
Kinywaji ni complex term, ndani yake Kuna maji, pombe, juice n.k.

Akili yako mbovu ndio imekufanya uwaze kwamba kinywaji nilichokuwa nakunywa ni pombe.

Kwa akili hizi ni lazima CCM iendelee kutawala.
Hizi ni zile DIVISION 5 enzi za Kikwete. Huwa wanakurupuka sana kujipapatua. Msamehe tu. Ndo madogo wa miaka hii uelewa wao ni shida sana. Ndo maana wanaishia kuwa mabwabwa.
 
Kuna wanaipewa na njia ya kuzuia ila ukimwambia mtu haamini, basi unaacha lipite

Mwaka jana mwezi km wa 3-4 nilimuotea ndg yangu akiuawa kwa risasi mazingira ya kazini kwake, niliposhtuka nikasikia sauti ndani yangu ikisema nimpe tahadhari abadili tabia zake hasa watu wa kazini kwake ama la watamuua, nikamwambia akapuuza mwaka huu mwezi wa 2 katikati amefariki kwa ajali ya kutatanisha
Duh! Aisee!

Poleni sana mkuu.

Haya mambo haya, mmnh!!!
 
Wakuu habarini za wakati huu...

Niliwahi kuleta Uzi humu kuhusu mchumba wangu ambaye ni Mcha Mungu, bikira, mpole, mkarimu, mzuri n.k.

Nimegundua kwamba huyu mwanamke ana karama ya unabii pia (muonaji). Zamani manabii waliitwa waonaji.

Kwanini nimefikia hii conclusion? Mjomba wangu alikuwa anaumwa, yaani kaka yake mama yangu. Siku Moja kabla ya kifo cha mjomba wangu, mchumba wangu akanipigia simu kunimbia anaona huzuni KUBWA Kwa mama yangu, kesho yake mjomba akafariki, kweli mama aliumia sana!

Mimi ni Wakili, nilikuwa na kesi Tanga Jana, kabla sijaondoka akanipigia simu kuniambia anaona vita KUBWA kwenye hiyo kesi, na ananiona Niko hospitalini! Baada ya kesi, ule upande wa pili wakaniomba tuonane nje ya Mahakama nikiwa na mteja wangu ili tufute kesi tuyazungumze, kweli tukaenda kuonana nao, nikawekewa sumu kwenye kinywaji changu, nikapelekwa hospitalini kweli na nikalazwa, Sasa hivi ndio wameni-discharge.

Hayo ni machache tu kati ya mengi. Ama kweli, ukimtanguliza MUNGU mbele HUWEZI kuikataa taasisi ya NDOA. NDOA ni baraka.

Huyu nikimuoa inabidi niwe makini sana

Muwe na jioni njema.
binafsi nimekupata. zaidi sana umenikumbusha neno la kwenye kitabu cha Marko "... hata mkinywa kitu cha kuwafisha hakitawadhuru".


TUSIACHE KUMTEGEMEA NA KUMWAMINI MUNGU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom