lyenyi
JF-Expert Member
- Mar 4, 2020
- 2,541
- 7,044
alijua kaamdaliwa mezani machoni pa watesi wake 😁😁Unakuwaje wakili mjinga hivi ,unaendaje kunnywa mipombe na watesi wako
Mkuu hivyo vitu kwa wenzetu huko wananafundisha kabisa jinsi ya kuwa na uwezo kama huo wa kupata maono na wala hawatumii dawa wala ushirikina, ni sawa na ndoto ambazo tunaota huwa zina maono lakini wala haiitajiki kuwa mtu spesho uliyochaguliwa ili uweze kuota ndoto na hilo suala ni hivyo hivyo tu.Ni kwasababu sio kila mtu anakuwa na karama hiyo. Ni mpaka Mungu mwenyewe akuchague.
Sasa mzee hii ni story tuu....kaa apo upate na kashataUnakuwaje wakili mjinga hivi ,unaendaje kunnywa mipombe na watesi wako
Safari ya maendeleo ya Tanzania ."Safari yetu", wewe na nani?
Kwa comment yako ni dhahiri kwamba mimi na wewe tunasafiri kwenye ulimwengu tofauti. Siwezi kusafiri na wewe kwenye ulimwengu mmoja, kwahiyo kama ni kuchelewa utachelewa wewe, usinilishe maneno mdomoni mkuu.
Otherwise, haya ni mawazo yako, na hayanabudi kuheshimiwa, ingawa huu sio uhalisia wangu when it comes to my profession.
Ngoja uanze kumnyandua uone kama ataendelea kuota
Mkuu hivyo vitu kwa wenzetu huko wananafundisha kabisa jinsi ya kuwa na uwezo kama huo wa kupata maono na wala hawatumii dawa wala ushirikina, ni sawa na ndoto ambazo tunaota huwa zina maono lakini wala haiitajiki kuwa mtu spesho uliyochaguliwa ili uweze kuota ndoto na hilo suala ni hivyo hivyo tu.
Na ndio maana sasa tuna hawa manabii ambao tunaona wana maono.
Wewe wasema!Safari ya maendeleo ya Tanzania .
Wakili unayeamini unabii badala ya facts utauza kesi kwa sababu mchumba wako kaoteshwa unabii, hutufai.
Usitutishee KATAA NDOA IDUMU.
Hili tangazo lipo kimkakati sana anyway naomba niwasiliane nae kwa simu hata kwa google meet nna mengi ya kumsimulia.
Ngoja uanze kumnyandua uone kama ataendelea kuota
Sawa, heri yako wewe mjanja.UNABAKIZA BAKIZA VINYWAJI NA KUACHA WAZI UNAPOTOKA.
KISHA UNAENDELEA KUNYWA BAADA YA KURUDI.
USHAMBA TU
Unaandaliwa bonge la nyundo upigwe nalo wewe na utakuja kulia hapahapa. Kila la heri na kumbuka "ndoa ni utapeli"
Sent using Jamii Forums mobile app
Au nitumie no yako ili ujumbe wangu ufike au email hebu chagua mana jobless tunataka mtu kama huyo aone Kuna nn hapa katikati ili tujue mda bado au Kuna kitu.