Mchumba wa Dk. Slaa aibua tuhuma nzito

Mimi naona Slaa akae uhamishoni, akiendesha chama remotely, with advanced technology it is possible (hotuba za conference calls etc) aje tu wakati wa uchaguzi. This people kwa kweli wameamua!

Kaunga, do you buy the story? umesoma the whole content dear? Mie naona kama story haipo plausible... Naona imekaa vibaya sana kwa Josephine.
 
Kaunga, do you buy the story? umesoma the whole content dear? Mie naona kama story haipo plausible... Naona imekaa vibaya sana kwa Josephine.

Story inaweza kuwa haipo plausible!!! lakini tayari kuna precedent ya matukio ya umafya dhidi ya watu wanaodhaniwa kuwa tishio kwa serkali iliyoko madarakani i.e dr uli, mwangosi, mwakyembe na wengine wengi tu, kwa hiyo siyo busara kwa wakati huu kupuuzia taarifa zinaelekeza kuwepo njama za kumwangamiza mtanganyika mwingine.
 
Kuna aneweza kukisia hiki kiwanda mali ghafi kinatowa wapi?

Mimi nakisia Sumbawanga.
 
Walishafunga ndoa lakini nashangaa gazeti bado linamwita 'mchumba wake'.
Mkuu wewe huamini kama kuna ushirikina? Sisemi kama unaamini katika ushirikina bali nauliza unaamini ushirikina upo?
Ushirikina na dini ni vitu vilivyopitwa na wakati..... ni mambo ya kipuuzi yasiyo na maana yeyote.
 
Kweli CCM wameshikwa pabaya sana wanafikiria kuua tu kwa sasa...sera zimegoma!!wakiua ndio watazidisha hasira kwa vijana wooote wapenzi wa Dr Slaa na CDM kwa ujumla!ndio mtaharibu kabisaaa....mtakosa ubunge hadi hamtaamini hata kama urais mkichakachua,haitasaidia maana wabunge wengi sanaa watakuwa vijana wa CDM,huko bungeni hakutakalika!!

Hapa suala la siasa linakujaje?,wacha' uchochezi'
 
hizi habari zililetwa humu mara nne na zikaondolewa,sasa imekuja upya ikiwa ndani ya gazeti sijui hawa mods kama wataitoa au watafanya nini,tunatazama kwa karibu
Na miongoni wa waliotajwa kuhusika na njama hizi kabla thread haijaondolewa ni yule jasusi wa Ikulu Rama aliyehusika katika utekaji wa Ulimboka.
 
Wako tayari hata kuua ili wamuondoe Dr Slaa duniani maana wanajua ni tishio kubwa kwao kwenye uchaguzi ujao.

Na miongoni wa waliotajwa kuhusika na njama hizi kabla thread haijaondolewa ni yule jasusi wa Ikulu Rama aliyehusika katika utekaji wa Ulimboka.
 
Hivi Slaa ndoa yake na "mchumba" wake iliyokuwa ifanyike mwezi Agosti mwaka huu ilipigwa stop?
 
Story inaweza kuwa haipo plausible!!! lakini tayari kuna precedent ya matukio ya umafya dhidi ya watu wanaodhaniwa kuwa tishio kwa serkali iliyoko madarakani i.e dr uli, mwangosi, mwakyembe na wengine wengi tu, kwa hiyo siyo busara kwa wakati huu kupuuzia taarifa zinaelekeza kuwepo njama za kumwangamiza mtanganyika mwingine.

Nakubaliana na wewe, na kubaliana na kuwa Slaa ni tishio kwa viongozi wa CCM ila sikubaliani na madai niliyosoma hapo kwenye gazeti. Kuamini kwangu kuwa Slaa yupo katika hati hati hakunipi sababu yeyote ya kuamini kila lisemwalo baya ama lolote la kuonesha "imani yangu ya usalama wake" ni sawa, na hii nazungumza kwa vigezo hivi... (Labda unipe sababu za kushiba to convince me otherwise);

Kuna habari mtu ukipata hata kama ya kushtua inatakiwa saana kuiangalia kwa umakini na undani pia. Kwa mtazamo wangu naona kuwa Madame Slaa kwa hili kachemka.. Hiii ya yeye kuongea na kuachia wazi hii (kama kweli ni yeye kasema haya) inafanya habari ionekane na uwakakini mkubwa sana! Habari kama hii ni lazima u question sio tu kuipokea ilivo...

1. Kwa habari nzito kama hizi je kazipeleka moja kwa moja kwa Chama (CDM) ili kuona muitikio na reliability ya hii habari hasa in the lines of verification?
2. Yeye ni mke wa Slaa, hivi kweli haoni implications za yeye kutangaza hii habari as opposed kama mwingine angetuma?
4. Sitaki kuamini kuwa Dr Slaa anaweza pata habari then ampe Madam Slaa kuzisambaza (kama ni hivo nina wasi wasi na Msimamo wa maamuzi ya Slaa hasa kwa kuhusiana na Uongozi wake). Labda sababu tumejaaliwa kuwa nae kama member ningependa sana dada Josephine kama anaweza eleza kuwa yeye hizi habari anazichukuliwa vipi?
5. Nini hasa lengo ya kuachia habari kama hii? Hii habari ni nzito sana na mara ya kwanza kuiona nilijua ni uzushi na wamemuonea, sasa sababu ni kweli nabaki nikijiuliza yeye kama mke wa Slaa lengo kubwa la kuachia habari kama hii ilikuwa ni nini?

Bahati mbaya iliyoje, majority wanaichukua na kuamini habari kama ilivo bila hata kujiuliza… Huo kwa kweli inakuwa sio ushabiki tena. Inatia huruma, inakuwa sawa na mzazi unapomuongopea mtoto ale mboga za majani itamfanya aweze kupaa na hali inamsaidia tu kukuwa. Sad.

Nikirudi upande wa Serkali, nakubaliana na uliyoongea kuwa kwa kweli wamekuwa tishio na hawaaminiki... Lakini bado hainipi sababu ya mimi kuamini hii habari...
 
Waende huko hawana jipya wanataka kumake headline 2 wawe front page kwenye media hasa huyu mchumba anayejifanya mjanja akati bado hata hajaolewa: Jinga sana huyu Mama!
 
Waende huko hawana jipya wanataka kumake headline 2 wawe front page kwenye media hasa huyu mchumba anayejifanya mjanja akati bado hata hajaolewa: Jinga sana huyu Mama!

Povu lote la nini? Tunashindana kwa hoja! Ficha ujinga wako!
 
kuna mzee mmoja aliwahi kunisihi sana akaniaambia wewe nikama mtoto wangu usiwe na tabia ya kukataa kila jambo unalo ambiwa na usiwe unakubali kila jammo unaliombiwa,lisikilize kaa nalo kwanza.
 
Nakubaliana na wewe, na kubaliana na kuwa Slaa ni tishio kwa viongozi wa CCM ila sikubaliani na madai niliyosoma hapo kwenye gazeti. Kuamini kwangu kuwa Slaa yupo katika hati hati hakunipi sababu yeyote ya kuamini kila lisemwalo baya ama lolote la kuonesha "imani yangu ya usalama wake" ni sawa, na hii nazungumza kwa vigezo hivi... (Labda unipe sababu za kushiba to convince me otherwise);

Kuna habari mtu ukipata hata kama ya kushtua inatakiwa saana kuiangalia kwa umakini na undani pia. Kwa mtazamo wangu naona kuwa Madame Slaa kwa hili kachemka.. Hiii ya yeye kuongea na kuachia wazi hii (kama kweli ni yeye kasema haya) inafanya habari ionekane na uwakakini mkubwa sana! Habari kama hii ni lazima u question sio tu kuipokea ilivo...

1. Kwa habari nzito kama hizi je kazipeleka moja kwa moja kwa Chama (CDM) ili kuona muitikio na reliability ya hii habari hasa in the lines of verification?
2. Yeye ni mke wa Slaa, hivi kweli haoni implications za yeye kutangaza hii habari as opposed kama mwingine angetuma?
4. Sitaki kuamini kuwa Dr Slaa anaweza pata habari then ampe Madam Slaa kuzisambaza (kama ni hivo nina wasi wasi na Msimamo wa maamuzi ya Slaa hasa kwa kuhusiana na Uongozi wake). Labda sababu tumejaaliwa kuwa nae kama member ningependa sana dada Josephine kama anaweza eleza kuwa yeye hizi habari anazichukuliwa vipi?
5. Nini hasa lengo ya kuachia habari kama hii? Hii habari ni nzito sana na mara ya kwanza kuiona nilijua ni uzushi na wamemuonea, sasa sababu ni kweli nabaki nikijiuliza yeye kama mke wa Slaa lengo kubwa la kuachia habari kama hii ilikuwa ni nini?

Bahati mbaya iliyoje, majority wanaichukua na kuamini habari kama ilivo bila hata kujiuliza… Huo kwa kweli inakuwa sio ushabiki tena. Inatia huruma, inakuwa sawa na mzazi unapomuongopea mtoto ale mboga za majani itamfanya aweze kupaa na hali inamsaidia tu kukuwa. Sad.

Nikirudi upande wa Serkali, nakubaliana na uliyoongea kuwa kwa kweli wamekuwa tishio na hawaaminiki... Lakini bado hainipi sababu ya mimi kuamini hii habari...

Habari zinazomhusu Dr. Slaa zina mhusu mke wake moja kwa moja kumbuka "mke na mme si wawili tena ni mmoja" hakuna siri kati yao, anachojua Dr. Slaa ndo anachojua mke wake na kuna baadhi ya mambo yanayo mhusu Dr. Slaa ambayo mke wake pekee ndo anayajua hata CDM hawayajui.

Kitendo cha yeye kuwa mke wa mwanasiasa maarufu nchini kinamfanya kwa ku penda au kuto ku penda ahusike moja kwa moja na siasa za nchi hii, kwenye nchi zilizo starahabika watu kama yeye statement zao ni credible na zinachukuliwa kama statement zilizotoka kwa mtu mhimu katika jamii

Badala ya kumshambulia kwa kejeli na dharau, wasiokubaliana naye wangejikita katika kumtaka atoe ufafanuzi wa madai yake ili yapimwe kubaini uhalali wake.
 
hii ni namna mpya ya kutafuta umaarufu kupitia kwa majina ya watu.sio tabia njema kwa tanzania yetu changa.
 
Nakubaliana na wewe, na kubaliana na kuwa Slaa ni tishio kwa viongozi wa CCM ila sikubaliani na madai niliyosoma hapo kwenye gazeti. Kuamini kwangu kuwa Slaa yupo katika hati hati hakunipi sababu yeyote ya kuamini kila lisemwalo baya ama lolote la kuonesha "imani yangu ya usalama wake" ni sawa, na hii nazungumza kwa vigezo hivi... (Labda unipe sababu za kushiba to convince me otherwise);

Kuna habari mtu ukipata hata kama ya kushtua inatakiwa saana kuiangalia kwa umakini na undani pia. Kwa mtazamo wangu naona kuwa Madame Slaa kwa hili kachemka.. Hiii ya yeye kuongea na kuachia wazi hii (kama kweli ni yeye kasema haya) inafanya habari ionekane na uwakakini mkubwa sana! Habari kama hii ni lazima u question sio tu kuipokea ilivo...

1. Kwa habari nzito kama hizi je kazipeleka moja kwa moja kwa Chama (CDM) ili kuona muitikio na reliability ya hii habari hasa in the lines of verification?
2. Yeye ni mke wa Slaa, hivi kweli haoni implications za yeye kutangaza hii habari as opposed kama mwingine angetuma?
4. Sitaki kuamini kuwa Dr Slaa anaweza pata habari then ampe Madam Slaa kuzisambaza (kama ni hivo nina wasi wasi na Msimamo wa maamuzi ya Slaa hasa kwa kuhusiana na Uongozi wake). Labda sababu tumejaaliwa kuwa nae kama member ningependa sana dada Josephine kama anaweza eleza kuwa yeye hizi habari anazichukuliwa vipi?
5. Nini hasa lengo ya kuachia habari kama hii? Hii habari ni nzito sana na mara ya kwanza kuiona nilijua ni uzushi na wamemuonea, sasa sababu ni kweli nabaki nikijiuliza yeye kama mke wa Slaa lengo kubwa la kuachia habari kama hii ilikuwa ni nini?

Bahati mbaya iliyoje, majority wanaichukua na kuamini habari kama ilivo bila hata kujiuliza… Huo kwa kweli inakuwa sio ushabiki tena. Inatia huruma, inakuwa sawa na mzazi unapomuongopea mtoto ale mboga za majani itamfanya aweze kupaa na hali inamsaidia tu kukuwa. Sad.

Nikirudi upande wa Serkali, nakubaliana na uliyoongea kuwa kwa kweli wamekuwa tishio na hawaaminiki... Lakini bado hainipi sababu ya mimi kuamini hii habari...

asha dii,nimependa uchambuzi wako.watanzania kwa sasa tupandikiziana chuki zisizo na msingi, dhambi hii itatutafuna mpaka tunaenda kaburini.
 
Na miongoni wa waliotajwa kuhusika na njama hizi kabla thread haijaondolewa ni yule jasusi wa Ikulu Rama aliyehusika katika utekaji wa Ulimboka.

hii ni chuki ya asili.hakuna ukweli wowote hapa mnachafua majina ya watu bure kwa maslahi yenu ya kisiasa.
 
Kitendo cha yeye kuwa mke wa mwanasiasa maarufu nchini kinamfanya kwa ku penda au kuto ku penda ahusike moja kwa moja na siasa za nchi hii, kwenye nchi zilizo starahabika watu kama yeye statement zao ni credible na zinachukuliwa kama statement zilizotoka kwa mtu mhimu katika jamii

Badala ya kumshambulia kwa kejeli na dharau, wasiokubaliana naye wangejikita katika kumtaka atoe ufafanuzi wa madai yake ili yapimwe kubaini uhalali wake.

Nakubaliana na wewe hapo in blue... Lakini haya mambo yana protocal, weka ushabiki na ufuasi pembeni... Imagine itokee tishio JK anadai anataka kuuwawa na wana CDM (MFANO TU!); Then hio habari aneitowa ni Salma Kikwete... Hivi kweli umelifikiria hili swala kuwa upana?! Hii kitu ni case nzito sana... Hadi sasa CDM hawajatowa tamko lolote (maybe sijabahatika kuona waweza nijuza); bado tu haikupi maswali Mrdash?

Hapo chini... nakubaliana na wewe. Na ndio mana pamoja na kuheshimu huyu dada bado nilitaka ufafanuzi... Yeye ni member hapa JF na kwa kweli namsifu kwa kujichanganya kwake na ndio mana hapo nilimtag, ili aje anipe ufafanuzi nielewe hapo ambapo nipo dilema... Kukaa kwake kimwa kunazadi kunipa walakini...
 
Hapo chini... nakubaliana na wewe. Na ndio mana pamoja na kuheshimu huyu dada bado nilitaka ufafanuzi... Yeye ni member hapa JF na kwa kweli namsifu kwa kujichanganya kwake na ndio mana hapo nilimtag, ili aje anipe ufafanuzi nielewe hapo ambapo nipo dilema... Kukaa kwake kimwa kunazadi kunipa walakini...
Mimi ni mmoja ya watu ambao sipendezwi na huyu Josephine kupractise siasa direct, hawa ni aina ya Wanawake ambao baada ya waume zao kukabidhiwa dhamana ya kuongoza nchi ndio uwatumbukiza waume zao kwenye matatizo na mgogoro wa kiuongozi, nalisema hili kwa nia na dhamira njema kabisa.

Mwenye masikio na asikie na mwenye macho aone Josephine ana haki zote kama Mtanzania kujihusisha na siasa, lakini kuna wakati mazingira fulani ni lazima ukubali yakunyang'anye haki yako ya msingi, haiwezekani wewe ni Jaji wa Mahakama kuu halafu mpaka nane usiku unataka kukesha na kina Matola pale Ambiance Sinza huku tukishindana wote kuchukwa warembo wauza uroda.
 
Mimi ni mmoja ya watu ambao sipendezwi na huyu Josephine kupractise siasa direct, hawa ni aina ya Wanawake ambao baada ya waume zao kukabidhiwa dhamana ya kuongoza nchi ndio uwatumbukiza waume zao kwenye matatizo na mgogoro wa kiuongozi, nalisema hili kwa nia na dhamira njema kabisa.

Mwenye masikio na asikie na mwenye macho aone Josephine ana haki zote kama Mtanzania kujihusisha na siasa, lakini kuna wakati mazingira fulani ni lazima ukubali yakunyang'anye haki yako ya msingi, haiwezekani wewe ni Jaji wa Mahakama kuu halafu mpaka nane usiku unataka kukesha na kina Matola pale Ambiance Sinza huku tukishindana wote kuchukwa warembo wauza uroda.

Nashukuru umeliona hili... yeye kufanya hivo kwa mume ambae hana hadhi yoyote katika Jamii zaidi ya kusema ni mume (or hata kiongozi wa level ya chini ni sawa).

But hii haikai vizuri kwa Dada Josephine kuwa msemaji mkuu wa Slaa... Mambo kama haya ndio huleta utata sana katika kueleweka kwa Kiongozi husika. Hii katika hali ya kawaida inaweza onesha kuwa Madame Slaa ana say kubwa kuliko hata Slaa (kitu ambacho hakiwezi pendeza); sababu watu wapo interested na Slaa na not the Madame.

Support ya Josephini ni muhimu na msingi... Ila support inapokuwa imefika hapa (pa yeye kupost such allegations); Ni hatari (ingawa watu hawataki kuona hilo). Inatoa picha hii....

  1. Viongozi wa CDM waliambiwa wakapuuza aidha sababu hawajali ama hawakuamini habari or whatever!
  2. Dr. Slaa kamuachia mkewe kutoa maamuzi kuhsusiana na issues ambazo zinahusiana na yeye in the lines of politics na publicity (kitu ambacho sio picha nzuri kabisa)... Inafanya mtu ujiulize is she the second Firstlady ambaye nae pia atateuliwa uwakilishi NEC just because the hubby ni president?
  3. Inafanya kuonesha kuwa she is using too much energy katika kukuza jina la Slaa... For what ever reasons alizo nazo.
  4. Kuna another side of the coin too.... Mtu unajiuliza alipata wapi hio intel? Je ni moja wa wale wanawake ambao wanaume huweka trust yake yote hapo (only to realise later ni msaliti? -God forbid)

Inatowa maswali mengi sana.... Then unakuja upande wa kusema yeye pekee ndio katamka haya... Slaa na the CDM Crew wapo kimyaaaa... Alafu hapa hapa wanakuja mtu sababu ni CDM ana support... Tuki support hivi then ina maana hata wataposhika nchi itakuwa hivi hivi; sasa hapo kutakuwa na utofauti gani na sasa?
 
Back
Top Bottom