HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,364
- 94,545
Hawa watu wa facebook,movie,whatsapp,bbm na chat zingine sijui huko mbele sisi ambao hatujaoa itakuwaje. Naona kama ndoa za mkataba zinanukia hivi kwani sikihizi watoto wanaojiita wamjini ni wavivu acha mi naishi nao taabu kweli yaani unaweza ondoka mtu yuko kwenye tv ni seties mwanzo mwisho hii dunia yaani najionea huruma kwanini nilizaliwa miaka ya 1990 bora hata ingekuwa 1970 maana hizi internet zisingesumbua sana.
Broo kwa hapo ongea nae ili apretend kufanya ukimwoa sahau. Dalili ya mvua ni mawingu na panapofuka moshi jua moto unawaka hizi ni dalili za ugonjwa
Broo kwa hapo ongea nae ili apretend kufanya ukimwoa sahau. Dalili ya mvua ni mawingu na panapofuka moshi jua moto unawaka hizi ni dalili za ugonjwa