Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
kwanza mie sio mtoa mada halafu sio me.vilevile hujajua raha ya ndoa ni pamoja na kutimiza majukumu na wajibu sidhani kama kuna mtu anayemfurahia mtu mchafu na mvivu
Ok ok, Lakini unadhani hicho ni kigezo tosha kumuacha huyo mwanamke?