Mchumba hataki kusex anataka kulipa mahari

Mchumba hataki kusex anataka kulipa mahari

Huu ni ujinga uliopitiliza mwisho wasiku unakuta post tena mwanzangu ana kibamia nifanyeje? Mwenzangu haniridhishi nifanyaje? Haitaji elimu ya chuo kikuu kuelewa kuwa ni muhimu kuchunguzana kabla ya ndoa na maswala mengine yanataka mpka practical ili kama hamwendani mapema mwelezane. Ss nyie mnajazana ujinga grade A mwisho mnapo shindwana mnasema oooh Ndoa ndoano ni kwa maswala ya kushauriana vitu ambavyo havina msingi mda mwingine
Ndiyo maana maduka ya nguo yana changing rooms utasemaje 'yes I do' kwa bidhaa usiyoifahamu?
 
Dah....huu mbona mtihani mwingine tena.

sisi wanaume tulimchagua mwakiloshi wetu baada ya nyie kupiga sana kelele suala la sex kabla ya ndoa hatimae tumelifanyia kazi sasa tena mbona mnatuangusha sasa,mnatugruka tena mnataka wenyewe?

Sisi tufanyeje jamani au sheria ya mwanzo ndiyo ifanyiwe kazi?
 
kama wakati wamelala wote haikudinda .. sababu wanaume wanadinda usiku na asubuhi lazime kiwe mnara kama yupo lijali kweli.. sasa mwenzangu mmelala hata kudinda kwa asubuhi hakupo teh hata me ningetaka kujaribu kukutana na kidudu kimelegea mpaka ukisokomeze na kidole na hana mikiki sababu akijivuta tu au ukapiga chafya kimechomoka ote mae ajaribu tu
Agiza mbege nalipa sasa ivi...
 
hajasema ni bikra mkuu
Na wala hajasema yeye si bikra aidha! Sasa basi :-

Naomba utolee maelezo, nini ilikuwa sababu ya msimamo wa awali wa binti, na sasa nini sababu ya kubadilisha msimamo wake wa awali?

Majibu tafadhali.
 
Du hiyo special 'delivery to be opened on your honey moon' nayo inataka moyo, ukikutana na vituko huko na ndoa yenyewe ni ra Roman Catholic sijui unafanya nini?

"Till death do us apart"

Yaani hilo lako.
 
kama wakati wamelala wote haikudinda .. sababu wanaume wanadinda usiku na asubuhi lazime kiwe mnara kama yupo lijali kweli.. sasa mwenzangu mmelala hata kudinda kwa asubuhi hakupo teh hata me ningetaka kujaribu kukutana na kidudu kimelegea mpaka ukisokomeze na kidole na hana mikiki sababu akijivuta tu au ukapiga chafya kimechomoka ote mae ajaribu tu
Unaweza ukaigusa ukakuta imesimama ukajiridhisha, kumbe ndio zile za sekunde tu
 
Well kama umekwenda kukachumbia katoto ka miaka 18 -20 kwakweli hutakatendea haki kama utaanza kumwambia 'shake before use'. Lakini ukutane na mdada anakwambia mimi bwana nimeamua baada kuwa disappointed aahhh!

Sky tafadhali mama usituharibie.
 
Salam aleikum wadau,

Mimi kama Mwenyekiti wa wanawake tulioamua kustaafu kusex bila ndoa nimepata malalamiko toka kwa mwanachama wangu mnajua bana sisi wanawake mtuelewe tu sometimes tupo off saa zingine on kapata mchumba sharti la kwanza mwenyewe mdada akamwambia jamaa no sex till marriage jamaa akamwambia poa hata mimi nataka mwanamke kama wewe.

Imefika katikati mdada anataka kujaribu amemtega jamaa wewe hadi amelala kwake ila jamaa hapigi gemu kabisa na sasa anaprocess ndoa. Sasa huyu member mwenzetu anadai ana hofu anataka gemu kwanza mimi hata simuelewi jamani anaomba ushauri maana nimempa ID yangu hapa anasoma.

Matusi muache jamani, shaurini kiungwana mambo ya mahusiano ni magumu jamani.
kwanza ashukuru sana kupata mtu kama huyo.Wakati mwingine usikifikiri mtu aneosha rungu kwanza ndio mpiga kazi.Wakati mwingine ukiosha rungu kwanza unaweza kumchoka mwenza wako.Nadhani huyo mwanamke ana njia nyingi za kujua kama mhogo wake upo salama na unatafunika sio kulala hadi asbuhi.Mfano ulimi, kukumbatiana kwa hisia nk aangalie matokeo lakini lazima tujue sio kila mwanamume anataka kupima oil kabla ya kuwasha gari.
 
Kudinda haimanishi lazima ugonge, kuna watu wapo tofauti sana.Madamu jamaa yupo radhi kuoa nadhani atakua anajiamini na anasubiri agonge kipindi cha honeymoon. Lazima tujue kua ndoa ni idara yenye maadili na iliwekwa na Mungu ili kuonyesha upendo wake kwa kanisa.Kwa hiyo tusidhani kwamba mchumba ni lazima umtafune kabla ya ndoa kama umeomba Mungu akupatie. Ila kama mchumba mwenyewe mmekutana maeneo yetu yale, aaah halafu mkafika gheto hujamtafuna lazima akuone una matatizo ya sukari.
 
Kudinda haimanishi lazima ugonge, kuna watu wapo tofauti sana.Madamu jamaa yupo radhi kuoa nadhani atakua anajiamini na anasubiri agonge kipindi cha honeymoon. Lazima tujue kua ndoa ni idara yenye maadili na iliwekwa na Mungu ili kuonyesha upendo wake kwa kanisa.Kwa hiyo tusidhani kwamba mchumba ni lazima umtafune kabla ya ndoa kama umeomba Mungu akupatie. Ila kama mchumba mwenyewe mmekutana maeneo yetu yale, aaah halafu mkafika gheto hujamtafuna lazima akuone una matatizo ya sukari.
 
Kudinda haimanishi lazima ugonge, kuna watu wapo tofauti sana.Madamu jamaa yupo radhi kuoa nadhani atakua anajiamini na anasubiri agonge kipindi cha honeymoon. Lazima tujue kua ndoa ni idara yenye maadili na iliwekwa na Mungu ili kuonyesha upendo wake kwa kanisa.Kwa hiyo tusidhani kwamba mchumba ni lazima umtafune kabla ya ndoa kama umeomba Mungu akupatie. Ila kama mchumba mwenyewe mmekutana maeneo yetu yale, aaah halafu mkafika gheto hujamtafuna lazima akuone una matatizo ya sukari.
mi sitaki kugongwa kabisa labda usiwe muoaji ukiniambia mambo ya ndoa itabidi usubirie ndoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom