Mchumba hataki kusex anataka kulipa mahari

Mchumba hataki kusex anataka kulipa mahari

Huyo Jamaa nitumie namba yake nimrushie Vocha.. Amenifurahisha sana.. Demu katingisha kiberiti jamaa kakaza kweli
Jamaa jembe kwel tunampa big up anapiga kimya kimya pemben hafalu wife mtarajiwa anapigwa pending kwa kujifanya ana msimamo kama wa bashite kumbe hamna lolote
 

Kwa kweli ntajikaza, maana wewe ndio ulianza kusema tusifanye so nakuonesha uwezo hadi asubuhi kimyaa!!
Na hata jamaa huwez jua labda ana pa kuponea pemben
Yan ndo ningekua mm unavua mwenyewe suruali sio kwa kukuchokoza huko
 
mdada akamwambia jamaa no sex till marriage jamaa akamwambia poa hata mimi nataka mwanamke kama wewe.

Imefika katikati mdada anataka kujaribu amemtega jamaa wewe hadi amelala kwake ila jamaa hapigi gemu kabisa na sasa anaprocess ndoa. Sasa huyu member mwenzetu anadai ana hofu anataka gemu kwanza
ndo maana akili za viumbe nyie hazieleweki kabisa..................mnajifanya sitaki nataka kuweni na msimamo aaaaaaargh
 
Du hiyo special 'delivery to be opened on your honey moon' nayo inataka moyo, ukikutana na vituko huko na ndoa yenyewe ni ra Roman Catholic sijui unafanya nini?
I just like you, natamani kujua kama yule mlokole alionja asali yako. Manake na yeye hakutaka kufunua. BTW, hivi mdada kama wewe mwenye ukomavu wa fikra mtu anaachaje kufungua kifuniko cha asali na kuonja!!?
 
I just like you, natamani kujua kama yule mlokole alionja asali yako. Manake na yeye hakutaka kufunua. BTW, hivi mdada kama wewe mwenye ukomavu wa fikra mtu anaachaje kufungua kifuniko cha asali na kuonja!!?
Hakufunua hata kidogo
 
Yupo sahihi ruhusu alipe mahari kwanza then msex kwa kjinafasi, Sawa baby!
 
shetani anahusikaje .tamaa zake mwenyewe anaogopa kibamia labda
Kwani wakati anapanga hilo sharti alikuwa hajui kuna vibamia na mahogo ya jang'ombe? Nasema hivi, HATA SIJUI WANAWAKE WANATAKA NINI KWA MWANAUME...
UNAPOTAKA KUTIKISA KIBERITI UKIKUTA KIMEJAA UWE NA PLAN B

Asubirie ndoa tu kugegedwa
 
Huu ni ujinga uliopitiliza mwisho wasiku unakuta post tena mwanzangu ana kibamia nifanyeje? Mwenzangu haniridhishi nifanyaje? Haitaji elimu ya chuo kikuu kuelewa kuwa ni muhimu kuchunguzana kabla ya ndoa na maswala mengine yanataka mpka practical ili kama hamwendani mapema mwelezane. Ss nyie mnajazana ujinga grade A mwisho mnapo shindwana mnasema oooh Ndoa ndoano ni kwa maswala ya kushauriana vitu ambavyo havina msingi mda mwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom