Mchumba hataki kusex anataka kulipa mahari

Mchumba hataki kusex anataka kulipa mahari

Salam aleikum wadau,

Mimi kama Mwenyekiti wa wanawake tulioamua kustaafu kusex bila ndoa nimepata malalamiko toka kwa mwanachama wangu mnajua bana sisi wanawake mtuelewe tu sometimes tupo off saa zingine on kapata mchumba sharti la kwanza mwenyewe mdada akamwambia jamaa no sex till marriage jamaa akamwambia poa hata mimi nataka mwanamke kama wewe.

Imefika katikati mdada anataka kujaribu amemtega jamaa wewe hadi amelala kwake ila jamaa hapigi gemu kabisa na sasa anaprocess ndoa. Sasa huyu member mwenzetu anadai ana hofu anataka gemu kwanza mimi hata simuelewi jamani anaomba ushauri maana nimempa ID yangu hapa anasoma.

Matusi muache jamani, shaurini kiungwana mambo ya mahusiano ni magumu jamani.
Nipe namba ya huyo demu nimshauri private
 
Hahahahahaha nmeishia kusoma comments na kucheka tu
 
ndiyo mkuu anashida sababu hata ulimdindo wa sabuhi hakupata may be..... au ana roho ngumu kukaa na nyama halafu unaambiwa usile duh hata kuitamani tu unashindwa habhaa hata me ningeomba gemu
mh hyo sio roho ngum mkuu itakuwa tu jogoo wake hawiki ipasavyo mimi kabisa nilale na mbunye kitanda kimoja halafu niicheki tu hadi asubuhi weee
 
Alimwongopea ana Bikra! Sasa kaona Jamaa akimkuta tofauti Shughuli itakuwa pevu....Naomba jamaa aendelee na msimamo huohuo.
 
Mwambie aombe radhi, atengue kauli yake kwa jamaa wapige mechi
 
The best thing huyu jamaa anaweza kufanya ni kuendelea kukaza hadi ndoa,huyo dada alipotikisa kiberiti alikuwa anamaanisha nini kwa mfano?
 
Kwahiyo unakaa na mrekbo usiku kucha ata hushtuki. Basi utakua na kamchepuko

Kwa kweli ntajikaza, maana wewe ndio ulianza kusema tusifanye so nakuonesha uwezo hadi asubuhi kimyaa!!
Na hata jamaa huwez jua labda ana pa kuponea pemben
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom