Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
- Thread starter
- #21
Kwa wenzetu ni rahisi kupata data, huyu mama ashukuru Mungu wake kumuepusha na huyo nzinzi, anatakiwa kupima kwanza kuhakikisha yuko salama!!!!!!!!
sisi takwimu zetu huzipata kijiweni tu na mara nyingi siyo za kweli...................