Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
Story ni kuwa bibie ambae amekuwa kwenye mahusiano kwa miaka mitano sasa. Alipata bahati kwenda nje ya nchi kwa shahada ya uzamili.
Kuonyesha commitment yake , mchumba alikwenda mara mbili ughaibuni kumuona. Siku anarudi alifanyiwa surprise ya engagement nyumbani baada ya mapokezi.
Ndani ya miezi mitatu kazini baada ya kurudi alipandishwa cheo na kuhamishiwa Arusha. Kule alianza maisha, mapenzi yakiwa uanaendelea mchumba akiwa Dar.
Rafiki wa mchumba alipata safari ya kikazi kwenda Arusha. Jamaa alinunua vizawadi kwa mchumba. Kule Arusha kwa nia njema kabisa bi dada alimwabia shemeji lazima ufike nyumbani. Alipika chakula na wine ya kumezea. Baada ya chakula shemeji alisaidia kuondoa vyombo na story kibao.
To cut a story short walikulana. Wakiahidiana itakuwa siri na wasahau. Sasa kule jamaa amemuomba huyu huyu rafiki yake awe best man akiwa hajui chochote.
Bibi harusi BP iko juu.
Kuonyesha commitment yake , mchumba alikwenda mara mbili ughaibuni kumuona. Siku anarudi alifanyiwa surprise ya engagement nyumbani baada ya mapokezi.
Ndani ya miezi mitatu kazini baada ya kurudi alipandishwa cheo na kuhamishiwa Arusha. Kule alianza maisha, mapenzi yakiwa uanaendelea mchumba akiwa Dar.
Rafiki wa mchumba alipata safari ya kikazi kwenda Arusha. Jamaa alinunua vizawadi kwa mchumba. Kule Arusha kwa nia njema kabisa bi dada alimwabia shemeji lazima ufike nyumbani. Alipika chakula na wine ya kumezea. Baada ya chakula shemeji alisaidia kuondoa vyombo na story kibao.
To cut a story short walikulana. Wakiahidiana itakuwa siri na wasahau. Sasa kule jamaa amemuomba huyu huyu rafiki yake awe best man akiwa hajui chochote.
Bibi harusi BP iko juu.