Mchugaji aiponda pombe kwenye mahubiri kanisani.

Mchugaji aiponda pombe kwenye mahubiri kanisani.

Bikongoro

Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
23
Reaction score
2
Jumapili moja,wakati akihubiri kanisani,mchungaji akaanza,"laiti ningekuwa na uwezo kwa namna ninavyokerwa na pombe, nigeamuru vilevi aina zote kwenye mabar vikamwagwe mtoni..........." anapomaliza kuhubiri anatoa fursa kwaya waimbe,,kwaya master anawaelekeza waumini kufungua vitabu vyao ili kuimba wimbo namba 500,unaosema"Na tukutane mtoni, watakatifu kwetu ni mtoni"........
 
Hehehehehehe tkanywe mapombe

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
hahahahah, yanaani wewe ni nima aiseee hahahahaha... watu wengine bana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom