Mchoro huu umenifikirisha sana

Mchoro huu umenifikirisha sana

Physics sio history ndug yang..
Ukishaambiwa interference umetolewa na mifano ya kutosha lakini
umeng'ng'na na uzito hujui hata shock absober nini.
Preminary physics hiyo.
Sio sielewi, nilipokuona umeanza majigambo na kebehi za kuwaona wengine hawaijui physics nikakuuliza "inteference" ni kitu gani ulichokiandika kwasababu nililenga kukosoa spelling zilizo miss

Shockup nisizijue kweli?
 
Sio sielewi, nilipokuona umeanza majigambo na kebehi za kuwaona wengine hawaijui physics nikakuuliza "inteference" ni kitu gani ulichokiandika kwasababu nililenga kukosoa spelling zilizo miss

Shockup nisizijue kweli?
Hujui kwani unajua?
Shock absober siiongelei shockup..
 
Sio sielewi, nilipokuona umeanza majigambo na kebehi za kuwaona wengine hawaijui physics nikakuuliza "inteference" ni kitu gani ulichokiandika kwasababu nililenga kukosoa spelling zilizo miss

Shockup nisizijue kweli?
Ungekuwa unaijua tusingefika.
 
Sio sielewi, nilipokuona umeanza majigambo na kebehi za kuwaona wengine hawaijui physics nikakuuliza "inteference" ni kitu gani ulichokiandika kwasababu nililenga kukosoa spelling zilizo miss

Shockup nisizijue kweli?
Reasoning yako ni ya kitoto sana..
Oky endelea kuangalia spelling zenye makosa ukosoe.
 
Hujui kwani unajua?
Shock absober siiongelei shockup..
Basi hapo kweli utakuwa unaongelea kitu kingine cha tofauti na ambacho ni wewe pekee unaye kijua

Mwanzo nilidhani umekosea Shock absober ulikuwa ukikusudia kuandika shock absorber ambayo ndio shockup nayo ijua mimi kumbe ulikuwa sahihi na ulichokiandika

Haya shock absober siijui naomba unijuze ni kitu gani hicho
 
Reasoning yako ni ya kitoto sana..
Oky endelea kuangalia spelling zenye makosa ukosoe.
Wala hakuna siku nimetangaza kwamba nina reasoning ya kikubwa

Na siwezi kukubishia kwa ubashiri wako maana wewe ni mtaalamu wa physics
 
Msipende kuitukana elimu, engineer anatengeneza barabara kulingana na pesa ambayo ipo

Pia kipindi zinatengenezwa hizo barabara ndio kile kipindi ambacho usafiri uliokuwa unatamba ulikuwa ni punda

Punda anauzito gani wa kufanya barabara ikreki?

Utafananisha na digital world ya kisasa ambayo mpaka excavators zenye minyororo zinapita kwenye barabara ya lami?
Kuna kitu hujaelewa halafu unachanganya Habari. Kwanza unasema barabara inaweza kuwa imara au dhaifu kulingana na pesa inayolipwa mara unarukia eti barabara za zamani zilipitisha punda. Sasa barabara hizo za zamani zilikuwa imara kwa kuwa zilipitisha punda tu au kwa kuwa iliwekwa pesa inayotosha? Walojenga kwa mawe walijenga hivyo wakiwa wanaujua uzito wa punda na parameters zingine za kutumia punda vis a vis uimara wa Barbara. Nani anawakataza mainginia wa Sasa kutengeneza barabara za kubeba uzito mkubwa? Hapa tz uzito wa juu ni tani 35. Zikipita tani 27 tu barabara zimepasuka. Mbona south Africa migari inavuta tani 100 na barabara hazipasuki?
 
Kuna kitu hujaelewa halafu unachanganya Habari. Kwanza unasema barabara inaweza kuwa imara au dhaifu kulingana na pesa inayolipwa mara unarukia eti barabara za zamani zilipitisha punda. Sasa barabara hizo za zamani zilikuwa imara kwa kuwa zilipitisha punda tu au kwa kuwa iliwekwa pesa inayotosha? Walojenga kwa mawe walijenga hivyo wakiwa wanaujua uzito wa punda na parameters zingine za kutumia punda vis a vis uimara wa Barbara. Nani anawakataza mainginia wa Sasa kutengeneza barabara za kubeba uzito mkubwa? Hapa tz uzito wa juu ni tani 35. Zikipita tani 27 tu barabara zimepasuka. Mbona south Africa migari inavuta tani 100 na barabara hazipasuki?
Sasa unanikosoa halafu mbeleni tena unakuja kujikosoa mwenyewe

Sijakataa kwamba barabara za kirumi hazikuwa bora kwa wakati wake, katika kipindi cha miaka hiyo ni kweli zilikuwa barabara bora.

Lakini barabara hizo haziwezi kuwa na msaada katika maisha ya sasa ambayo tupo hata zijengwe kwa namna gani

Labda nikuulize kilichosababisha hizo barabara za south africa kuwa imara kuweza kumuda magari ya tani 100 ni pesa au ni aina ya vyombo vinavyopita?

Halafu umeuliza nani anawakataza mainjinia kujenga barabara bora

Kwani hao mainjinia wa south africa ambao barabara zao umezikubali kuwa ni imara ushawahi kujua bajeti yao kwenye huo mradi ni shingapi ukaja ukafananisha na bajeti ya barabara zetu za huku?
 
Mkuu, kama ma elfu ya miaka iliyopita walibuni barabara zilizodumu mpaka sasa licha ya kwamba unadai sababu ya kudumu ni kutumika na punda ambao sio wazito
swali langu ni je kwanini nyie ma engineer mnashindwa kutengeneza barabara ambayo itahimili uzito wa juu wakati you have everything at your disposal from materials to knowlodge itself ? kwanini mnashindwa wakati ninyi ni bora zaidi ?
Una akili sana kijana,
 
Back
Top Bottom