Mchongoano

majuto mperungu

JF-Expert Member
Jul 20, 2012
394
116
Sio kila mtu anayeingia benki
ameenda ku withdraw
pesa....wengine wameenda
kuomba loan.
Sio kila mtu anayeingia chooni
mara kwa mara anaharisha...la
bda ameajiriwa huko.
Sio kila chali atembeae na dem
msupa eti ni wake....labda ni sista
ake tu!
Sio kila anaye update
status'Mombasa here i
come'anaishi huko...wengine
wanaenda kuvisit alafu warudi
kwao.
Sio kila mtu akikwambia tukutane
saa kumi yuko bize....wengine
hawataki kukutana lunch time
(badget)
Sio kila anaye upload photo fb
akiwa ndani ya subule nzuri kisha
amepost'home sweet home'ni
kwao....wengine ma housegal tu
nyumbani mwa boss.
Sio kila aliyebeba mfuko wa
nakumatt ametoka
huko...wengine wametoka kwa
fundi wa viatu vikawekwa humo
ndani.
Sio kila anayefunga ramadhani eti
anapenda....wen gine hawana
pesa za chakula.
Sio kila mwenye kitambi ana
pesa....wengine ni kwashakor.
Sio kila mwenye p.pic nzuri ni
zake....wengine photoshop
zawasaidia.
Sio kila anayevaa koti jeupe ni
dokta...wengine ma butcher!
Sio kila anayeenda kanisani
ameenda kuabudu....weng ine
watafuta wachumba.
Sio kila mwanamume anaweza
mpiga mkewe....wengin e
wanapigwa jamanii.
Sio kila dem mwenye shape nzuri
kajaliwa....wen gine za kichina.
Sio kila___________
_______________
 
sio kila aliye mweupe ni rangi yake wengine karolite sio kila anaeongea kiingereza ni msomi wengine english caurse sio kila mwenye wallett ana pesa wengine masharobaro
 
Sio kila mwanamke bar maid ni Malaya, wengine wanafanya Kama kazi Yao! Sio kila konda amwomba kazi, wengine ni magari Yao wenyewe! Sio kila baunsa anajua kupigana, wengine wanachapwa na watoto wadogo tu......
 
Mmhhhh!!! Hapa kiongozi umekoseaaaaa!!!!

Sio kila mwenye kitambi ni mimba, wengine Obesity

wewe unakubaliana kuwa samaki mmoja akioza wote wameoza? sio kweli, wengine wanachukuliwa wameoza kwa sababu wao pia ni samaki.
 
Back
Top Bottom