Ahahahahaha! Angelikuwa ni CCM anai query CCM mngemuita Mwamba na hana haja ya kwenda chamani. Ila kwakuwa ni Chadema Ngangari mnataka aende chamani! Ahahahahaha!!!Aende chamani aache kuzungukazunguka
Si bora hata huyo kaitwa chamani, malisa yeye alisikia tu mitandaoni kwamba kashanyolewa.Ahahahahaha! Angelikuwa ni CCM anai query CCM mngemuita Mwamba na hana haja ya kwenda chamani. Ila kwakuwa ni Chadema Ngangari mnataka aende chamani! Ahahahahaha!!!