Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 1,211
- 233
Hata hao wanigeria na huyo Daktari wao wameamua kumtangaza LKN najua ,ninafahamu na ninauhakika kuna watanzania,wanigeria,waghana,waafrika kwa ujumla wengi waliosoma urusi na wana GPA 5.Kwa mada hii ya mchina ulemuongelea humu ndani nadhani ilistahili kumuongelea na yule mnigeria aliyepata GPA ya tano Russia yaan aliwabwaga warusi na wengineo wote waliokuwa wanasoma katika chuo hicho.
Level gani ni sawa kupata F?Vipi hivi unajua huwa nashangaa MTU anayepataha F form four....Aisee unapataje F 4m four
Naomba nikusahihishe nina mifano ya waafrika wengi waliongoza ktk nchi za watu tena ngazi ya vyuo vikuu na watanzania wakiwa wamojawapo tena lugha za ufundishaji ni lugha za kizawa kwenye nchi hizo ikiwemo nchi za bara la asia na wapo hata wa shule za awali ,kati, na juu kwa marekani.
Teh tehHata Mimi nilipata F 9 Na D moja ya kiingereza
ha ha haaaaaa hasa huyo kipara.jinsi alivyokaa na kuubalance mwili wake ukilinganisha na watangazaji wetu, ni dhahili sisi ni wavivu wa mwili mpaka akili labda!
Kwenye semina ya THE AKILI KUBWA atakwepo..Nenda kachukue nambaNataka namba za CongCong Wang aje ghetto dogo anareseat mwaka wa nne huu...
Inasikitisha mleta maada akiwa anajiita Mtanzania, muafrika mzalendo anakuja na hoja kama hizi. Matatizo makubwa ya baadhi ya waafrika mfano wa huyu mleta mada ni mawili, mosi, kudharau uafrika wake na kutukuza wengine("white supremacy" and black inferiority) na pili ni kuamini mtawala hakosei ( divine rule).
Ripoti ya utafiti wa elimu nchini Uingereza inaonyesha kuwa wanafunzi wengi hufeli masomo ya Kiingereza na hisabati zaidi kuliko masomo mengine.
Theory yako italeta maana zaidi kama ukiweza kuthibitisha kuwa huyu mchina amehamia hapa (miaka michache iliyopita) akiwa hajui kiswahili...Ila kama huyu "mchina" amezaliwa hapa mjini na amelelewa hapa mjini, tofauti yake na watanzania wengine itakuwa ni rangi tu...
Mtoa mada katoa vizuri kabisa, wewe umeharibu kwa sababu unachangia kiitikadi!100% nakuunga mkono, pia hizo hizo IQ za weusi walio wengi waliandama london eti kupinga yaliyotokea zanzibar na wengine wanadai eti wanaenda fungua kesi ulaya kwa kunyimwa haki zao za uchaguzi wa haki, hizi IQ wazungu wanaendelea kupima na kujiridhisha zaidi kuwa tafiti zao ziko sahihi, tena inawezekana walipendelea maana hizi IQ ziko sub zero kabisa!
Tatizo unalodai kuwepo kwako unaenda kwa watu kutaka wakusaidie kulitatua ilhari wee ni mtu mzima mwenye 'akili' timamu, Hovyo kabisa! Unazira kisha unadai unanyimwa haki, hizi ni akili kweli?
Mleta mada umeumganisha vizuri point zako kuanzia kwa mchina mpaka kwenye uhalisia.
Nisome vizuri labda utanielewa, najinukuu ukusadia ,,najua kwamba data hazitoshi kuweza kuhitimisha chochote lkn labda kuna ukweli ndani yake kwamba watu wa Asia wana IQ kubwa klk wote Duniani kwa maana sijawahi kusikia Mwafrika diaspora akiongoza kwa kwenye mitihani huko aliko kama yuko naomba nisahihishwe!
Kwa mara ya kwanza YEHODAYA nakupa like kwa kuongea point mkuu na kusimamia ukweli hata kama utakuwa unampinga pro magamba na pro JPM mwenzako.Kikwete aliwahi kusema kuwa ukisoma au ukisikia kitu Usikipokee kama kilivyo changanya pia na akili zako.
Hivi unaamini wazungu wana IQ kubwa kuliko waswahili? Mtu mwenye IQ kubwa anaweza kaa bungeni na kupitisha sheria ya watu kuoana wa jinsia moja na kuipigia debe dunia nzima?
Wazungu wamekubaliana kuwa kuparamiana watu wa jinsia moja ni kitu sahihi.IQ ZAO ZIKO JUU?