FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Inapikwaje hiii maana utakuwa umewasaidia wengi..
Kina Asprin,RR,Acid ,CBZ,Mfamaji na Teamo ,Fidel80 na wengineo
Kina Asprin,RR,Acid ,CBZ,Mfamaji na Teamo ,Fidel80 na wengineo
Inapikwaje hiii maana utakuwa umewasaidia wengi..
Kina Asprin,RR,Acid ,CBZ,Mfamaji na Teamo ,Fidel80 na wengineo
Mbona manapaparika wazeee? au mnaosisitiza muelezwe jinsi ya kuandaa mnamatatizo? au hamjiamini? its better ujiamini ukijiamini unagonga mapaka vitano mpaka asubuhi mie sijawahi kutumia kitu chochote za kuongeza nguvu na daily nagonga not less than three na kuna wakati kabla ya kulala nagonga viwili na asubuhi viwili vya kuunganisha...............
mwaka jana nilikuwa turkey katika chuo kikuu cha istanbul university,profesa mmoja anaitwa majid shafy alinifundisha kupika mchicha kwa tangawizi,kuwa ni noma kuliko viagra,na ni lishe ya kuipata mara moja kwa mwaka,niliporudi bongo nikaanza kuifanya hii therapy,lol! NAJUTA kwani mpaka leo siwezi kukaa hata siku moja bila kusex na kila usiku mmoja lazima nipige goli tatu au nne ndio nipate usingizi!! sasa shughuli iliyoje mpenzi wangu akiwa katika hedhi huwa natamani kulia!
NA UZURI WA MBOGA au chakula hiki kinaweza kumfaa hata mwanamke aliyepoteza kabisa shauku na hata wasiopata hedhi,unataka kujua namna ya kuuandaa??
taarifa kilema.mwaka jana nilikuwa turkey katika chuo kikuu cha istanbul university,profesa mmoja anaitwa majid shafy alinifundisha kupika mchicha kwa tangawizi,kuwa ni noma kuliko viagra,na ni lishe ya kuipata mara moja kwa mwaka,niliporudi bongo nikaanza kuifanya hii therapy,lol! NAJUTA kwani mpaka leo siwezi kukaa hata siku moja bila kusex na kila usiku mmoja lazima nipige goli tatu au nne ndio nipate usingizi!! sasa shughuli iliyoje mpenzi wangu akiwa katika hedhi huwa natamani kulia!
NA UZURI WA MBOGA au chakula hiki kinaweza kumfaa hata mwanamke aliyepoteza kabisa shauku na hata wasiopata hedhi,unataka kujua namna ya kuuandaa??
mwaka jana nilikuwa turkey katika chuo kikuu cha istanbul university,profesa mmoja anaitwa majid shafy alinifundisha kupika mchicha kwa tangawizi,kuwa ni noma kuliko viagra,na ni lishe ya kuipata mara moja kwa mwaka,niliporudi bongo nikaanza kuifanya hii therapy,lol! NAJUTA kwani mpaka leo siwezi kukaa hata siku moja bila kusex na kila usiku mmoja lazima nipige goli tatu au nne ndio nipate usingizi!! sasa shughuli iliyoje mpenzi wangu akiwa katika hedhi huwa natamani kulia!
NA UZURI WA MBOGA au chakula hiki kinaweza kumfaa hata mwanamke aliyepoteza kabisa shauku na hata wasiopata hedhi,unataka kujua namna ya kuuandaa??
Habarini wadau. tukimngoja kaka kutoa hiyo recipe ya mchicha na tangawizi ngoja niokoe jahazi kidogo. tangawizi kweli ni dawa ya mambo mengi, hsa katika kurudisha nguvu za kiume na kutengeneza yale majimaji yawe na content. kama mnaweza katika mboga na milo mingi itumie tu unaiblend (kuisaga vizuri) na unaungia mboga, wale wenye uwezo hata ukikaa unatafuna si mbaya. kitu kingine kinachorudisha nguvu kwa wale wenye ndoa ambao everyday tunasex...maziwa na asali jioni inasaidia sana. kitu kingine maziwa unamix na machicha ya nazi, yani mamaaa anakuna nazi yale machicha huyakamui kutoa tui vilevile unatia katika glass au kikombe cha maziwa, jamani mtaniambia.
mihogo mibichi jioni ukipiga stiry we tafuna tu ndugu yangu ile myembamba hapa DSM wamama wengi huitembeza katika mabeseni mchanamchana, kama una tumbo zuri tafunia na karanga, wengine huumwa tumbo, ila kwa karanga ndo usiseme bomba sana.
kingine pweza, jamani na vile vijiti uswahilini kula vinne,vitano wengi hutoa na supu bure kamata kibakuli jinywee jioni usiku kama kawa. kwa sasa ni hayo kama mna swali uliza. hivi ni vitu very natural na havina gharama.
ushauri: tupunguze kula kuku wale wa kizungu jamani lol! wanapunguza nguvu za kiume.
asanteni
Hajawatendea watu wengi haki kwa kuiacha habari hii hewani.Mod, tafadhari muadhibuni kalunguine kwa kuanzisha discusion na kuiacha hewani.
Mod, tafadhari muadhibuni kalunguine kwa kuanzisha discusion na kuiacha hewani.