Mchicha na tangawizi mbichi ndio suluhisho pekee! Achana na viagra!!

Wakuu hii mada nilishawahi kuitolea maelezo miezi kadhaa iliyopita,chukua tangawizi mbichi gramu 100 itwange nauweke maji kama nusulita ichemshe mpk ichemke weka mchicha kama fungumoja wacha uchemke nahiyotangawizi badae kulamchicha kiasi nasupu yote yatangawizi mara1 kwasiku kwasiku 5 mfululizo mambo yanakua mazuri,ila zipo aina zingine nikibokokuliko hiyo,nitawawekea siku ingine.
 
mwaka jana nilikuwa turkey katika chuo kikuu cha istanbul university,profesa mmoja anaitwa majid shafy alinifundisha kupika mchicha kwa tangawizi,kuwa ni noma kuliko viagra,na ni lishe ya kuipata mara moja kwa mwaka,niliporudi bongo nikaanza kuifanya hii therapy,lol! NAJUTA kwani mpaka leo siwezi kukaa hata siku moja bila kusex na kila usiku mmoja lazima nipige goli tatu au nne ndio nipate usingizi!! sasa shughuli iliyoje mpenzi wangu akiwa katika hedhi huwa natamani kulia!

NA UZURI WA MBOGA au chakula hiki kinaweza kumfaa hata mwanamke aliyepoteza kabisa shauku na hata wasiopata hedhi,unataka kujua namna ya kuuandaa??

Hapi pekundu rekebisha.
Hivi kama huna njaa kwa nini ule. kama sina hamu sina haja ya kutafuta hamu ya sex.
 
Wakuu hii mada nilishawahi kuitolea maelezo miezi kadhaa iliyopita,chukua tangawizi mbichi gramu 100 itwange nauweke maji kama nusulita ichemshe mpk ichemke weka mchicha kama fungumoja wacha uchemke nahiyotangawizi badae kulamchicha kiasi nasupu yote yatangawizi mara1 kwasiku kwasiku 5 mfululizo mambo yanakua mazuri,ila zipo aina zingine nikibokokuliko hiyo,nitawawekea siku ingine.

kwani wewe ndo Kalunguine? maana jamaa kaweka mada kapotea mpaka leo
 
kwani wewe ndo Kalunguine? maana jamaa kaweka mada kapotea mpaka leo
<br />
<br />
mimi sio kalunguine nimeamua kutoa maelezo baada yakuona mnatakasana kujua ila kalunguine ameingia mitini,tena amedanganya alikua turkey sikweli hiyo stori ipo ktk mtandao nahuyo mturuki aliemtaja yupo ktk hiyo stori.
 
<font color="navy"><b>mwaka jana nilikuwa turkey katika chuo kikuu cha istanbul university,profesa mmoja anaitwa majid shafy alinifundisha kupika mchicha kwa tangawizi,kuwa ni noma kuliko viagra,na ni lishe ya kuipata mara moja kwa mwaka,niliporudi bongo nikaanza kuifanya hii therapy,lol! NAJUTA kwani mpaka leo siwezi kukaa hata siku moja bila kusex na kila usiku mmoja lazima nipige goli tatu au nne ndio nipate usingizi!! sasa shughuli iliyoje mpenzi wangu akiwa katika hedhi huwa natamani kulia! <br />
<br />
NA UZURI WA MBOGA au chakula hiki kinaweza kumfaa hata mwanamke aliyepoteza kabisa shauku na hata wasiopata hedhi,unataka kujua namna ya kuuandaa??</b></font>
<br />
<br />
 
huyu jamaa aliyepost hii thread ndo huyu anaomba msaada gonga hapa<a href="https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/152953-sijiskii-utamu.html" target="_blank">https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/152953-sijiskii-utamu.html</a>
<br />
<br />

ndugu yangu 'chenge' mficha maradhi mauti humuumbua- tena wala hutakiwi kumdharau mwenzako kwa kutafta tiba
 
Guys you made my day. Nilikuwa nasikia kuna hili tatizo nikazani ni porojo za mitaani kumbe kweli. I have concluded my research today. Ndio maana waganga siku hizi wanagawa vipeperushi kwa kasi. Ila siamani kama kweli tatizo ni kubwa hivyo nahisi mnataka kuvunja record tu na hamjiamini kama mko powa.
 
Naona Chuo kikuu cha mtaani kinafanya kazi. Hakuna scientific proof hata moja!
utasubiri sana na hizo scientific proof zako ambazo maabara zipo Vienna au Washington. Sie twapeta tu na traditional proof zetu
 
Mkuu hiyo kitu nilikuwa siijui aisee! Imekutibu bt imekuachia maumivu makali sana ya kusaka wanawake kila siku duh!
 
Back
Top Bottom