mwaka jana nilikuwa turkey katika chuo kikuu cha istanbul university,profesa mmoja anaitwa majid shafy alinifundisha kupika mchicha kwa tangawizi,kuwa ni noma kuliko viagra,na ni lishe ya kuipata mara moja kwa mwaka,niliporudi bongo nikaanza kuifanya hii therapy,lol! NAJUTA kwani mpaka leo siwezi kukaa hata siku moja bila kusex na kila usiku mmoja lazima nipige goli tatu au nne ndio nipate usingizi!! sasa shughuli iliyoje mpenzi wangu akiwa katika hedhi huwa natamani kulia!
NA UZURI WA MBOGA au chakula hiki kinaweza kumfaa hata mwanamke aliyepoteza kabisa shauku na hata wasiopata hedhi,unataka kujua namna ya kuuandaa??
Wakuu hii mada nilishawahi kuitolea maelezo miezi kadhaa iliyopita,chukua tangawizi mbichi gramu 100 itwange nauweke maji kama nusulita ichemshe mpk ichemke weka mchicha kama fungumoja wacha uchemke nahiyotangawizi badae kulamchicha kiasi nasupu yote yatangawizi mara1 kwasiku kwasiku 5 mfululizo mambo yanakua mazuri,ila zipo aina zingine nikibokokuliko hiyo,nitawawekea siku ingine.
<br />kwani wewe ndo Kalunguine? maana jamaa kaweka mada kapotea mpaka leo
<br /><font color="navy"><b>mwaka jana nilikuwa turkey katika chuo kikuu cha istanbul university,profesa mmoja anaitwa majid shafy alinifundisha kupika mchicha kwa tangawizi,kuwa ni noma kuliko viagra,na ni lishe ya kuipata mara moja kwa mwaka,niliporudi bongo nikaanza kuifanya hii therapy,lol! NAJUTA kwani mpaka leo siwezi kukaa hata siku moja bila kusex na kila usiku mmoja lazima nipige goli tatu au nne ndio nipate usingizi!! sasa shughuli iliyoje mpenzi wangu akiwa katika hedhi huwa natamani kulia! <br />
<br />
NA UZURI WA MBOGA au chakula hiki kinaweza kumfaa hata mwanamke aliyepoteza kabisa shauku na hata wasiopata hedhi,unataka kujua namna ya kuuandaa??</b></font>
Duh sijui nitakuta mama regina kafunga kigengeeeee!!!!!
<br />huyu jamaa aliyepost hii thread ndo huyu anaomba msaada gonga hapa<a href="https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/152953-sijiskii-utamu.html" target="_blank">https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/152953-sijiskii-utamu.html</a>
na wewe huna nguvu za kike??????lol
<br />na wewe huna nguvu za kike??????lol
utasubiri sana na hizo scientific proof zako ambazo maabara zipo Vienna au Washington. Sie twapeta tu na traditional proof zetuNaona Chuo kikuu cha mtaani kinafanya kazi. Hakuna scientific proof hata moja!