Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Nuuh uuuh the blue pill still does the trick uncontestedly
Blue pill is killing like hell. You can stop it and use Garlic instead.
Nuuh uuuh the blue pill still does the trick uncontestedly
Husomi sread na wewe? Jamaa kachemsha. Soma post yangu hapo juu. Duh kila kitu utafuniwe loh
...Mh! Mbona nimesikia hata nyie pia yaweza kuwasaidia endapo mtandao unapatikana kwa shida...eep::israel:Inapikwaje hiii maana utakuwa umewasaidia wengi..
Kina Asprin,RR,Acid ,CBZ,Mfamaji na Teamo ,Fidel80 na wengineo
naona huyu alianzisha tu lakini jinsi ya kumaliza ameshindwa hadi anasaidiwa na wengine wenye elimu angalau ya mambo hayo lakini nasisitiza naye atoe maoni yake kwa kuwa ndiye mwanzisha mada ! la sivyo nitamlaumu tafadhali ajitokeze haraka achangie mada yake hii !Hajawatendea watu wengi haki kwa kuiacha habari hii hewani.
hWadau wa JF, msihangaike.
(i) Kunywa Chai ya majani ya Artemisia.
(ii) Chukua vitunguu swaumu vilivyomenywa kiganja kimoja, twanga. Tia katika chombo. Halafu kamulia malimao mawili, acha mchanganyiko kwa masaa 6 hadi 12.
Then unaweza kunywa na chai ya Rangi au maji ya moto Glass moja.
Kila unapotaka kutengeneza glass moja, anza tena upya na vitunguu swaumu vingine.
Mm naona huyu jamaa kachanganya mambo. Tangawizi in Ginger ..... Ikiwa alimaanisha hivyo basi ginger haina issue kwenye mambo haya sana.
Tena kwenye mchicha haviendi.Angezungumzia chai , kahawa etc ningemwelewa.
Issue mazee ni kitunguu saumu ....... Kinaitwa GARLIC . Hapa ndio mambo iliko.Sio lazima upike kwenye mchicha. Unatafuna vipingili vitano kwa siku tu. Tatizo ni harufu ,lakini kama unaweza kuvumilia harufu basi utajiponya na magonjwa mengine mengi tu. Gonga hapa.
Garlic or Viagra®?
kama unataka kuwasaidia watu toa fomulla sio unasepa au wewe ni mamluki nini
...Watu wenye 'Inferiolity Complex' utawajua tu. Kila mara anataka kuwa centre of attraction' hata kama hana lolote. kama huyu...
<br />huyu jamaa aliyepost hii thread ndo huyu anaomba msaada gonga hapa<a href="https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/152953-sijiskii-utamu.html" target="_blank">https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/152953-sijiskii-utamu.html</a>
ndo kama babu yako?
Mbona manapaparika wazeee? au mnaosisitiza muelezwe jinsi ya kuandaa mnamatatizo? au hamjiamini? its better ujiamini ukijiamini unagonga mapaka vitano mpaka asubuhi mie sijawahi kutumia kitu chochote za kuongeza nguvu na daily nagonga not less than three na kuna wakati kabla ya kulala nagonga viwili na asubuhi viwili vya kuunganisha...............
ubombo unaweza kuzidiwa hapaMmh hapa kweli ni mkong'teni ulizieni wasambaa mzizi wanaita Ubombo hapo ni funga kazi