bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
haya mashindano hayakubaliki kabisaa!inasikitisha,wanatuharibia ndugu zetu,ndio nini hiyo eti watoto wakiume wavae mavazi ya kike wakate viuno,no way labda maimartha aseme mabasha wamemuomba awaandalie hili shindano!hayafai yanatakiwa yapingwe vikali!
ofcoz kuna anachopata in the long run and I wont be suprised atawanadi hao vijana kwa wenye laana wenzie.....