Mchezo mchafu kumchagua DG mpya NHC

najua sana taratbu zinazo tumika na pia jinsi mambo yanavyo pindishwa ili ku-favour certain people, ndio maana leo hii watu walikuwa wanalalamika uteuzi kama wa Mattaka ATC, au je unaweza kujustify vipi uteuzi wa Mkurugenzi wa BET na au Current Mkurugenzi wa Bandari etc

Bandari kila mtu alishangaa kupewa Mgawe ambaye hana uwezo na uzoefu.kulikuwa na dada mwenye uzoefu lakini Basil Mramba alimpiga vita yule na dada na kumkata huku chini kabla ya kupeleka kwa rais.Mramba alishirikiana vizuri na katibu mkuu kiongozi bwana LUHANJO.yule dada kilichomuharibia alikuwa MUISLAM.

ATCL nako kulikuwa na DR. Omari NUNDU ambaye amefanya tafiti nyingi za mambo ya ndege ana phD kwenye fani ya mambo ya anga. mwafrika wa kwanza kuwepo kwenye tume ya Anga duniani na rais wa kwanza wa mambo ya anga duniani. kwa nguvu za katibu mkuu LUHANJO ambaye ndio mtendaji mkuu wa IKULU alimnyima kazi DR.Omar Nundu kwa msingi wa dini yake kama alivyonyimwa dada ambaye angepata Bandari.

Katibu mkuu Kiongozi ana nguvu sana kwenye maamuzi haya lazima mjue huyu ndio mkuu wa usalama wa Taifa kwa namna nyingine.kati ya watu ambao JK alipaswa kuwaondoa ni Bwana Luhanjo ni mkabila na mdini mkubwa.hatukatazi kuweka watu wako lakini wawe na MERITS sio kulazimisha kama MGAWE na BANDARI,SANGA NA LAPT,MATTAKA NA ATCL.

Shirika la Nyumba linatakiwa lipate mtu mwenye uwezo sio kumpeleka mtu kwa kuwa ni kabila lako au unasali nae kanisa moja bila kutizama mustakali wa shirika husika.
 
NHC (Nyumba Huria Chache) shirika la nyumba kwa faida ya magabacholi.
vile vijumba vibovu vibovu ndo wanapangishwa walalahoi

HaPa umenena...saizi bongo bila kumhusisha mhindi hamna dili kubwa la real estate in partnership with NHC unaweza fanya!!!!...something STINKS IN THERE!!!
 
Kama GT analalamika ujue mtu anaelekea kupata hicho cheo sio wa dini yake!! Huyu bwana is on assignment to assist in whatever manner and make sure watu wa imani yake wanapigiwa chepuo kupata vyeo awamu hii; kwa mtindo huo mtaipeleka nchi yetu pabaya kwani vita based on faith ni mbaya sana!!
 
Bandari kila mtu alishangaa kupewa Mgawe ambaye hana uwezo na uzoefu.kulikuwa na dada mwenye uzoefu lakini Basil Mramba alimpiga vita yule na dada na kumkata huku chini kabla ya kupeleka kwa rais.Mramba alishirikiana vizuri na katibu mkuu kiongozi bwana LUHANJO.yule dada kilichomuharibia alikuwa MUISLAM.

ATCL nako kulikuwa na DR. Omari NUNDU ambaye amefanya tafiti nyingi za mambo ya ndege ana phD kwenye fani ya mambo ya anga. mwafrika wa kwanza kuwepo kwenye tume ya Anga duniani na rais wa kwanza wa mambo ya anga duniani. kwa nguvu za katibu mkuu LUHANJO ambaye ndio mtendaji mkuu wa IKULU alimnyima kazi DR.Omar Nundu kwa msingi wa dini yake kama alivyonyimwa dada ambaye angepata Bandari.

Katibu mkuu Kiongozi ana nguvu sana kwenye maamuzi haya lazima mjue huyu ndio mkuu wa usalama wa Taifa kwa namna nyingine.kati ya watu ambao JK alipaswa kuwaondoa ni Bwana Luhanjo ni mkabila na mdini mkubwa.hatukatazi kuweka watu wako lakini wawe na MERITS sio kulazimisha kama MGAWE na BANDARI,SANGA NA LAPT,MATTAKA NA ATCL.

Shirika la Nyumba linatakiwa lipate mtu mwenye uwezo sio kumpeleka mtu kwa kuwa ni kabila lako au unasali nae kanisa moja bila kutizama mustakali wa shirika husika.

Mkubwa!

Tatizo kubwa bongo ni kukosa ukomavu na uzoefu wa waamuzi muhimu; tukuangalia kiundani--- tatizo limeanzia katika grassroot level na watu wanakua katika misingi hiyohiyo... haya yote tunayoongea kila siku ni mazao ya mfumo wenye matobotobo, built around personalities and poor quality assurance katika vetting system yetu.

Kibaya zaidi kwa sasa, kuna policy moja inasema kwamba mtu ambaye hayupo katika system hataweza kupata nafasi executive unless aingie katika entry point za kawaida no matter how skilful and capable he/she is; Mfumo tuutumiao kwa sasa umebaki wa moyo kuliko facts and merits

MCHANGIAJI MMOJA AMESEMA VIZURI SANA, KUNA HAJA YA VETTING AND APPROVAL PROCESS IITAKAYOPITIWA NA VYOMBO KAMA BUNGE NA IKIWEZEKANA OUR INTERVIEW APPROACH FOR TOP NOTCHES ZIWE TOFAUTI NA MTU AKALE "VIVA VOSE" KWENYE PANEL INAYOHUSISHA WATAALAM WA ndani na wa KIMATAIFA

HAYO YA LUHANJO HAYATAISHA HADI KUFUNGUE MIPAKA YA KITAALUMA... wahanga wa mfumo uliopo tuko wengi humu
 
Kibaya zaidi kwa sasa, kuna policy moja inasema kwamba mtu ambaye hayupo katika system hataweza kupata nafasi executive unless aingie katika entry point za kawaida no matter how skilful and capable he/she is; Mfumo tuutumiao kwa sasa umebaki wa moyo kuliko facts and merits
sera hiyo iliwekwa na hawa ghasia nakubaliana na wewe
 
Wakati mnaendelea kubishana kwenye episodes za MENGI vs ROSTAM

Nadhani mnajua jamaa wako kwenye process ya kumchagua DG mpya pale NHC lakini cha ajabu waziri husika na kigogo fulani wa IKULU wanatuhumiwa kuwa amekuwa instrumental katika kuvuruga process nzima ili jamaa wa nyumbani kwao apate na wamefika hatua ya kubadilisha hata matangazo ili kumuaccomodate candidate mmoja

Ukistaajabu ya musa utashangaa ya firauni

Na tangazo la pili lilikuwa scaled down hata masharti ya elimu ili jamaa apate tuu

anyway hiyo ndio habari..sasa tegeemni wengine kuja tutetea huu fisadi
Hapa ni jukwaa la uwazi na ukweli,taja majina.
 
Last edited:
huyo DG wa NHC anateuliwa na nani? au taratibu za ajira yake zikoje? Na Waziri anahusika vipi katika kumteua DG wa shirika la 'umma'?
tangazo linatolewa kwenye media (printing), applications zinafanyika, shortlisting inatoka, interview inafanyika na panel ikijumuisha NHC board then majina matatu waziri anapewa then anawasialiana na ikulu wanapendekeza moja...anakuwa BOSS.
 
Mwanakijiji,

Appointment zote za ma CEO/ DGs mashirika makubwa ya umma hufanywa na rais, waziri husika ana nafasi kubwa sana ya kumshauri rais kiasi mara nyingine raisi anakuwa anapitisha mapendekezo ya Waziri tu.

Ni moja kati ya matatizo ya kumlimbikizia kila kitu rais, si rahisi rais kujua vitu vingi vinavyoendelea katika mashirika haya pamoja na personalities na potentialities, especially with the current state of affairs hapo TISS ambao hata wao wenyewe wanaweza kuwa compromised mpaka kukosa maana.

Kwa hiyo ukiwa na rais asiye kichwa (kama Kikwete) it is quite conceivable waziri akavuruga process.

Ingawa most probably hata Kikwete mwenyewe si mtu wa kuchagua kwa merit (kwani yeye mwenyewe hajachaguliwa kwa merit) kwa hiyo sitashangaa hata kama hakuna kuvurugwa process kazi akapewa mwanamtandao fulani, kama Cisco Mtiro yule mvaa kihereni (mila zetu wavaa vihereni ni wanawake, mabaharia na majunya) kaenda kuwa Mkuu wa itifaki Tanzania anybody can take any position.

According to the first post jamaa walishusha viwango kwenye tangazo sasa kama nafasi inatangazwa kwanini tena raisi au waziri ndiyo wateue?
 
mkuu kama hufai uliza tu. Kwenye teuzi kama hizo za wakuu wa mashirika na nyingine yanapelekwa majina matatu weza u called it shortlist or not lakini ndivyo ilivyo.

Hata hiyo kazi ya dg nhc imetangazwa na interview ikafanyika na still majina yatakayo kwenda kwa rais ni matatu.

if that is the case kuwa interview inafanyika then wanapeleka majina kuna haja gani then ya kufanya hivyo? Mimi naona ni kupoteza hela za walipa kodi! Na je asipochagua kati hao inakuwaje? Kuna sheria inambana raisi kuwa lazima achague kati ya hao?
 
Mwanakijiji,


Kwa hiyo ukiwa na rais asiye kichwa (kama Kikwete) it is quite conceivable waziri akavuruga process.

Ingawa most probably hata Kikwete mwenyewe si mtu wa kuchagua kwa merit (kwani yeye mwenyewe hajachaguliwa kwa merit)

Bluray nimependa sana hapo. Nadhani imefika wakati tuseme ukweli kama ulivyo bila kumung'unya maneno kwani tukifanya hivyo tuko likely kurudia makosa tulifanya mwaka 2005. Huu ni ukweli ambao natamani watanzania wote wangeuelewa vilivyo. Ikumbukwe kuwa urais si sura kwani si umiss huo wala umr so next time tumjaji mtu kwa uwezo wake wa kazi na si mvuto. Wote tumeshuhudia namna ambavyo mvuto umeshindwa kutupatia maisha bora kwa kila mtanzania.
 
Bandari kila mtu alishangaa kupewa Mgawe ambaye hana uwezo na uzoefu.kulikuwa na dada mwenye uzoefu lakini Basil Mramba alimpiga vita yule na dada na kumkata huku chini kabla ya kupeleka kwa rais.Mramba alishirikiana vizuri na katibu mkuu kiongozi bwana LUHANJO.yule dada kilichomuharibia alikuwa MUISLAM.

ATCL nako kulikuwa na DR. Omari NUNDU ambaye amefanya tafiti nyingi za mambo ya ndege ana phD kwenye fani ya mambo ya anga. mwafrika wa kwanza kuwepo kwenye tume ya Anga duniani na rais wa kwanza wa mambo ya anga duniani. kwa nguvu za katibu mkuu LUHANJO ambaye ndio mtendaji mkuu wa IKULU alimnyima kazi DR.Omar Nundu kwa msingi wa dini yake kama alivyonyimwa dada ambaye angepata Bandari.

Katibu mkuu Kiongozi ana nguvu sana kwenye maamuzi haya lazima mjue huyu ndio mkuu wa usalama wa Taifa kwa namna nyingine.kati ya watu ambao JK alipaswa kuwaondoa ni Bwana Luhanjo ni mkabila na mdini mkubwa.hatukatazi kuweka watu wako lakini wawe na MERITS sio kulazimisha kama MGAWE na BANDARI,SANGA NA LAPT,MATTAKA NA ATCL.

Shirika la Nyumba linatakiwa lipate mtu mwenye uwezo sio kumpeleka mtu kwa kuwa ni kabila lako au unasali nae kanisa moja bila kutizama mustakali wa shirika husika.

Mkuu hivi hao wote uliowataja wanatoka kwa LUHANJO? What if alitumwa afanye alivyofanya? Maana anayeteua ni Rais baada ya mapendekezo au unataka tuamini kuwa jamaa anateua na kumplelekea Rais jina?

Udini na Ukabila ni kwa kiwango kidogo sana japo upo. Mbona usemi watu wa dini fulani kushikilia sehemu nyeti kipindi hiki cha JK? Thats why nimesema haya mambo ya ukabila na udini weka pembeni kwani nafasi za uteuzi lazima kuwe na MERITS? KINACHOANGALIWA NI HUYU MWENZETU THATS ALL.
 
Mwanakijiji,

Appointment zote za ma CEO/ DGs mashirika makubwa ya umma hufanywa na rais, waziri husika ana nafasi kubwa sana ya kumshauri rais kiasi mara nyingine raisi anakuwa anapitisha mapendekezo ya Waziri tu.

.


Una uhakika na unachokisema?. Manake nakumbuka hiyo nafasi imetangazwa katika magazeti mara chungu mzima tena magazeti kibao? imetangazwa ya nini kama rais anateuwa?
 
Sijafurahishwa na mchango unaohusisha udini katika appointments. Yawezekana kukawa na udhaifu hapa na pale lakini naamini appointments nyingi zinazingatia uwezo wa mtu. Kwa upande wa NHC tungependa kuona majina na sifa za hao wanaowania nafasi ya u-DG ili tuanze kuwachambua.
 
Hakuna udini bana, kuna UMTANDAO kama hukushiriki kwa kampeni huna chako, "Scratch may back, I will scratch yours" wengi si walicheza kambi ya FS ndio maana wako nje.
 
kingwele,kanda2,game-theory,

..Philemon Luhanjo alikuwa Katibu Mkuu wizara ya mambo ya nje wakati Kikwete ni waziri.

..inawezekana huyo ndiyo Katibu Mkuu waliyeelewana na Kikwete kuliko wote[makatibu wakuu] ktk utumishi wake[Kikwete] serekalini. naamini hiyo ndiyo sababu iliyomfanya Kikwete ahame naye kwenda Ikulu.

..baadhi ya makatibu wakuu waliofanya kazi na Kikwete wakati akiwa waziri ni kama Prof.Mark Mwandosya, Peter Ngumbulu,Balozi Elly Mtango,Balozi Hassani Gumbo Kibello.

..kama washauri na wasaidizi wa Raisi wanampelekea watu bomu kwa ajili ya kuteuliwa ktk nafasi mbalimbali basi Raisi anawajibika kuwabadili washauri/wasaidizi hao. Raisi pia anaweza kutafuta ushauri mahala pengine.

NB:

..Omari Nundu ni mtaalamu wa Aeronautics, siyo masuala ya biashara ya mashirika ya ndege.

..ATC ilishawahi kuongozwa na Emmanuel Ole Kambainei, Aeronautics Engineer kama alivyo Omari Nundu, matokeo yake hayakuwa mazuri hata kidogo. Mzee Mwinyi alimbadilisha na kumteua Melkizedeck Sanare.
 
Kigogo wa Ikulu mwenye mchezo mchafu ni Luhanjo amekuwa akifanya hivyo kwa muda mrefu nilipatwa na mshangao alipomteua mtu wa kijiji chake ambaye hana sifa na alikuwa demoted ni SANGA akampa ukurugenzi wa shirika la LAPT.kuna move ya wazi kabisa anaifanya LUHANJO kuwabeba watu wa nyanda za juu za kusini hasa kwenye hizi appointment za Ikulu.

Chirigati nae ni looser mkubwa sioni la maana amepewa uwaziri huku akiwa mchomvu. mchezo huu uko sehemu nyingi kama ulivyofanywa bungeni hivi karibuni na DR.Thomas Kashilillah akishirikiana na Raphael Nombo kuwaweka watu watu wasio na sifa.
anyway tutafika.


Sometomes uongee kwa kutumia data na huku ukijua wanaosoma hapa JF wengi wamekwenda shule na wanajua taratibu siyo kuingiza ukabira usiokuwa na msingi katika jamii. Tangu lini Katibu Mkuu wa Ikulu anachagua wakurugenzi wa Mashirika??. Unaposema amemchagua mkurugenzi wa LAPF unajua taratibu za kumpata huyo? Kwanza LAPF ina Board yake na wakurugenzi wa Board, na nafasi zile zilitangazwa waka apply watu wengi, na kati ya hao waliochujwa huwa ni watatu. Hayo majina hupelekwa Ikulu kwamba any name out of that is qualifying!!

Sasa akimchukua yeyote pale Rais hana kosa, labda mwenye kosa aliyemleta. Learn to tell the truth!!
 
Duh! mbona nchi imeshapelekwa pabaya muda mrefu. Umesoma comments za kanda2 kuhusu kazi iliyofanyika Bandari, ATCL na LAPF?

Nchi iko pabaya kweli..yaani bila kuwa the ex-seminarian.. umekwisha. Lakini haya yote yalianzishwa kwa puprpose..someni Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanganyika kilichoandikwa na John Sivalon ambacho mpaka leo hakuna aliethubutu kukipinga.

Jamaa kwa mapana kabisa alimhusisha Julius na mpango wake kabambe wa kupandikiza wakatoliki kwenye kila maeneo nyeti. Mungu bariki..Julius alikuwa hai na hata hakukanusha.

Tutafika tu..nyie kina Omari Nundu kazi zenu mmeshawekewa ni za upishi na udereva tu...tena hawa jamaa wabaya sana baada ya kuona siku hizi hata udereva unalipa .....maana mwazo kulikuwa na waislamu wengiii wakaanza kuweka masharti ili ili pate kazi ya dereva lazima uwe na form 4..

Ama kweli ukustaajabu ya Musa utayaona ya firauni.

Kwa hiyo unasema waislamu hawana form 4 education na hawawezi kuipata? Ndiyo wakawekewa kiwango hiki ili washindwe?
 
Duh! Nimeipata at last!!

hii niliiipost on 15th May 2009, 08:44 PM


Na leo ni tarehe 7 MARCH 2010!


Just when you thought youve seen everything...dont you just love JF?
 
Kama GT analalamika ujue mtu anaelekea kupata hicho cheo sio wa dini yake!! Huyu bwana is on assignment to assist in whatever manner and make sure watu wa imani yake wanapigiwa chepuo kupata vyeo awamu hii; kwa mtindo huo mtaipeleka nchi yetu pabaya kwani vita based on faith ni mbaya sana!!

.....duuhh.........kaazi kweli kweli...........
 
if that is the case kuwa interview inafanyika then wanapeleka majina kuna haja gani then ya kufanya hivyo? Mimi naona ni kupoteza hela za walipa kodi! Na je asipochagua kati hao inakuwaje? Kuna sheria inambana raisi kuwa lazima achague kati ya hao?

Mugerezi this seems to be what has happened.. which fundamentally.. negates the need for the whole stupid process!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom