Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,774
Wamasilimu uzeeni baada ya kula ujana ukristuni.
Ukristo sio jina, kuna kina John wengi tu ambao ni wapagani kama kulivyo na kina Rashida walio Wakristo. Mtu akitaka uthibitisho wa hili aende Google awatafute Nabeel Quresh, Basuki Abdullah, Ibrahim Abdullah, Saeed Abedini na Taysir Abu Saada.