DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,495
- 99,295
Mchezaji wa timu ya taifa ya Gabon anayeitwa Guelor kanga Kaku, anatarajiwa kukutana na kamati ya nidhamu CAF kujieleza kwanini mama yake mzazi alifariki 1986 lakini yeye alizaliwa mwaka 1990..... Miaka 4 baada ya mama yake mzazi kufariki.
Chanzo: gazeti la Trollfootball
Chanzo: gazeti la Trollfootball