Ni haki yake kuamini kile anachokiona kina mfaaHahahahaa....mume subiri amepata post career depression mkamkimbilia!
Dini ni ma-opportunists!
Sababu nzuri sana hiyo kwani utakuwa umesilimu na umejisitiri na zinaa na umesitiri wanawake wanne.hata mimi ntakuja kusilimu ili tu nioe wake wa 4
kila mmoja ana sababu yake ya kusilimu yaweza kuwa mapenzi, ahadi ya vinono, wake wa 4, kumiliki mali na mengineyo
Hakuna Mungu m1.Good for him.
By the way, there is only one God.
Taqbirrr.
Fake news....huyo siyo Vieira...hiyo clip iko na kama 3 years inazagaa mitandaoni...
Fake news....huyo siyo Vieira...hiyo clip iko na kama 3 years inazagaa mitandaoni...
Sent using Jamii Forums mobile app
People like to hear what they want.....kwa hiyo mtu akipata taarifa anasambaza tu bila kujipa muda kidogo kutafiti ukweli wake....Inawezekana maana wengi tu walishazushiwa kusilimu (akiwemo Michael Jackson).