GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,738
- 109,175
Niliwaamini akina Abdi Banda wa Mtibwa Sugar FC, Kelvin Yondan wa Geita Gold FC na huyu Bwege wa juzi Andrew Vicent wangenifanyia vyema hii Kazi yangu Maalum kumbe ndiyo Kwanza wakawa Wanawachekea tu mpaka hata Kuwazawadia Magoli ya Michongo na sasa hatukai kwa Amani hapa Mjini.
Natamani mno Umri wangu urejee na nicheze Mpira (Fabo) hasa zile namba zangu za Beki Mbili au Beki namba Nne au Kiungo cha Chini (Ukabaji) ili niwaonyeshe hawa Wachezaji wa sasa (Wadogo zangu) jinsi ya Kumalizana Ki Roho Mbaya na Watu kama Bangala, Aucho na Mayele.
Na hakuna Mchezaji mwepesi kama ukiwa na PhD ya Kucheza Rafu Kali (ila za Kiufundi) wa kumpeleka haraka ICU au Muhimbili kwa Bibi Cheza akaanze Mazoezi yake ya Viungo kama Mchezaji Fiston Mayele.
Yaani anawafunga na bado anawatusi?
Natamani mno Umri wangu urejee na nicheze Mpira (Fabo) hasa zile namba zangu za Beki Mbili au Beki namba Nne au Kiungo cha Chini (Ukabaji) ili niwaonyeshe hawa Wachezaji wa sasa (Wadogo zangu) jinsi ya Kumalizana Ki Roho Mbaya na Watu kama Bangala, Aucho na Mayele.
Na hakuna Mchezaji mwepesi kama ukiwa na PhD ya Kucheza Rafu Kali (ila za Kiufundi) wa kumpeleka haraka ICU au Muhimbili kwa Bibi Cheza akaanze Mazoezi yake ya Viungo kama Mchezaji Fiston Mayele.
Yaani anawafunga na bado anawatusi?