cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,131
Unatesekaa mwakaa huu poleee,Sisi msemo wetu Yanga Bingwa na ndio maana tukikutana tuna wapasua za kutosha ata refa akizipunguza uwa Zina baki za kutupatia point tatu.





Unatesekaa mwakaa huu poleee,Sisi msemo wetu Yanga Bingwa na ndio maana tukikutana tuna wapasua za kutosha ata refa akizipunguza uwa Zina baki za kutupatia point tatu.





Refa sio mchezaji, tafuta hoja nyingin ya kupooza maumivuKama kweli wangekua fair mchezaji Bora ni refa aliye wazawadia Simba Penalty ya bahasha.
Maana aina Ile ya penalty inabidi mshipa wa aibu ukatike ndio uitoe.
Ilikuwa Penati halali kabisa ile. Ila kwakuwa akili yako ulishaiandaa kukataa jambo lolote jema wanalolipata Simba ndo maana unaibisha vikali.Kama kweli wangekua fair mchezaji Bora ni refa aliye wazawadia Simba Penalty ya bahasha.
Maana aina Ile ya penalty inabidi mshipa wa aibu ukatike ndio uitoe.