Yes mzee, nimetembea kidogo barabara ya Mbezi-Goba, katikati hapo kuna lodges za midrange (sio za gharama kubwa), yaani chumba cha 25,000 kina kila kitu. Mtu ana vyumba kumi na watumiaji sio watu wa kulala.Aisee!!!!! Na hifadhi huu ushauri for future use
Umesamehewa wapi wakati unatenda dhambi ile ile na huna mpango wa kuacha.nimeshatubu kwa Mungu na Mungu nae najua amenisamehe kwasababu anaona furaha yangu iko wapi
Furaha yako iko kwa mchepuko??nimeshatubu kwa Mungu na Mungu nae najua amenisamehe kwasababu anaona furaha yangu iko wapi
Anaharibu ndoa yake huku akijuaUkiona unajisifu katika ujinga ujue tayari ushakuwa mpumbavu bila wewe kujua. Pole sana kama sio changamsha genge.
Yes mzee, nimetembea kidogo barabara ya Mbezi-Goba, katikati hapo kuna lodges za midrange (sio za gharama kubwa), yaani chumba cha 25,000 kina kila kitu. Mtu ana vyumba kumi na watumiaji sio watu wa kulala.
Inalipa mkuu.
kakiri kwamba anaburudika kuchepuka na mume wa mtu. Ila kuna wadau wanapata burudani kujisifu wana"piga" wake za watu na hawashambuliwi kama ilivyo kwa Dagaa. Ukimwi upo na unauaDagaa
Mafiga 3,tafsiri yake nikubwaKwahiyo mtoto wako wa kike utamfunda kuwa akiolewa kama haridhiki ndani ya ndoa awe na mchepuko sio?
Take this shit to the mansion niggarHabari wanajamvi,
Wacha niende moja kwa moja kwenye hoja. Mimi ni mke wa mtu nina miaka kadhaa kwenye ndoa zaidi ya kumi, namuheshimu mume wangu na nampenda sana pamoja na watoto wetu, naye analitambua.
Huu ni mwaka wa sita sasa niko na mchepuko wangu na mchepuko wangu naye ni mume wa mtu, na sitegemei kumwacha. Na naweza sema jamani michepuko inaimarisha kutunza ndoa ukiwa na mchepuko wako ukakupenda na mkaheshimiana na mkawekeana misingi yenu, wacha niendelee kusema michepuko hoyee.
Sitaki ushauri wenu wa hoo sijui maradhi yapo, jibu ni kwamba tuko makini na mchepuko wangu kuliko mjuavyo, na ananikuna haswaa na ananijali sana.
Ila swali moja la kizushi, kwanini wanaume mlioko kwenye ndoa mkiwa kwenye sita kwa sita amuwapi mashamsham wake zenu ila mkitoka nje mnaonyesha ufundi ambao hamuwapi wake zenu? Hata mimi nina imani huyu mume wa mtu niliye nae ananipa mashamsham kama yote ila najua kwa mkewe atakuwa anampapasa.
Kwakweli mimi sijutii, na kama dhambi nimeshatubu sababu hata Mungu naye ni shahidi anaona ninachopata.
Wale wote wenye bibi wa kando na babu wa kando tuseme hoyeeeee.
Kwa kumalizia nasema hivi: Mchepuko wangu nampenda sana na na mume wangu nampenda na ndoa yangu siachi na yule naye namshauri sana asimwache mkewe, sisi tupo kwa ajili ya kurutubisha ndoa zetu na kujenga.
Karibuni.
hajui hata kama umemlenga yeyeKumbe ndiyo maana haitikii!
Na imefika mbali aiseeeYaani unaliwa nje " then Unasema kuwa mumeo una muheshimu duh!!! ....
Dunia inakwenda kasi sana
Endelea kumzalia mumeo watoto ambao kiuasilia sio wake- Mbele za Mungu starehe zako zote zitageuka kuwa kaa la moto lisilozimika.Habari wanajamvi,
Wacha niende moja kwa moja kwenye hoja. Mimi ni mke wa mtu nina miaka kadhaa kwenye ndoa zaidi ya kumi, namuheshimu mume wangu na nampenda sana pamoja na watoto wetu, naye analitambua.
Huu ni mwaka wa sita sasa niko na mchepuko wangu na mchepuko wangu naye ni mume wa mtu, na sitegemei kumwacha. Na naweza sema jamani michepuko inaimarisha kutunza ndoa ukiwa na mchepuko wako ukakupenda na mkaheshimiana na mkawekeana misingi yenu, wacha niendelee kusema michepuko hoyee.
Sitaki ushauri wenu wa hoo sijui maradhi yapo, jibu ni kwamba tuko makini na mchepuko wangu kuliko mjuavyo, na ananikuna haswaa na ananijali sana.
Ila swali moja la kizushi, kwanini wanaume mlioko kwenye ndoa mkiwa kwenye sita kwa sita amuwapi mashamsham wake zenu ila mkitoka nje mnaonyesha ufundi ambao hamuwapi wake zenu? Hata mimi nina imani huyu mume wa mtu niliye nae ananipa mashamsham kama yote ila najua kwa mkewe atakuwa anampapasa.
Kwakweli mimi sijutii, na kama dhambi nimeshatubu sababu hata Mungu naye ni shahidi anaona ninachopata.
Wale wote wenye bibi wa kando na babu wa kando tuseme hoyeeeee.
Kwa kumalizia nasema hivi: Mchepuko wangu nampenda sana na na mume wangu nampenda na ndoa yangu siachi na yule naye namshauri sana asimwache mkewe, sisi tupo kwa ajili ya kurutubisha ndoa zetu na kujenga.
Karibuni.
Na imefika mbali aiseee
Degree za chu.p na kiingereza cha uto.ko Huu ndo uji.nga wenyewe sasaevery one his/her is stupid, even you mzee baba...