Mchepuko oyeee!

Mchepuko oyeee!

Hahaaa....kwanini uue mapenzi ni hiyari ya mtu...ikitokea ukabaini kuwa mkeo ana kusaliti basi mpe talaka aende zake....ya nini kujiingiza,matatizoni
Hivi unajua kinachowa-drive watu kuua?

1. Upendo uliopitiliza
2. Gharama zilizopitiliza kipato chako.
Unachotumia kumtunza mkeo.
3. Wivu uliopitiliza
4. Kiwango cha ubora wa mapenzi mnachopeana kwa bed.
- unawaza yaani mwingine ndiye akamfaidi mke wangu. Hapo ndipo adui anapopata upenyo wa Uovu dhidi ya mpenzi wake.

Mtu anapogundua usaliti akakusamehe ujue kuna nguvu ndani yake.

Au ujue ana njia nyingine badala yako anaitegemea zaidi ila kwa kuwa alikuwa nawe hakupenda aifuate.
 
Habari wanajamvi,

Wacha niende moja kwa moja kwenye hoja. Mimi ni mke wa mtu nina miaka kadhaa kwenye ndoa zaidi ya kumi, namuheshimu mume wangu na nampenda sana pamoja na watoto wetu, naye analitambua.

Huu ni mwaka wa sita sasa niko na mchepuko wangu na mchepuko wangu naye ni mume wa mtu, na sitegemei kumwacha. Na naweza sema jamani michepuko inaimarisha kutunza ndoa ukiwa na mchepuko wako ukakupenda na mkaheshimiana na mkawekeana misingi yenu, wacha niendelee kusema michepuko hoyee.

Sitaki ushauri wenu wa hoo sijui maradhi yapo, jibu ni kwamba tuko makini na mchepuko wangu kuliko mjuavyo, na ananikuna haswaa na ananijali sana.

Ila swali moja la kizushi, kwanini wanaume mlioko kwenye ndoa mkiwa kwenye sita kwa sita amuwapi mashamsham wake zenu ila mkitoka nje mnaonyesha ufundi ambao hamuwapi wake zenu? Hata mimi nina imani huyu mume wa mtu niliye nae ananipa mashamsham kama yote ila najua kwa mkewe atakuwa anampapasa.

Kwakweli mimi sijutii, na kama dhambi nimeshatubu sababu hata Mungu naye ni shahidi anaona ninachopata.

Wale wote wenye bibi wa kando na babu wa kando tuseme hoyeeeee.

Kwa kumalizia nasema hivi: Mchepuko wangu nampenda sana na na mume wangu nampenda na ndoa yangu siachi na yule naye namshauri sana asimwache mkewe, sisi tupo kwa ajili ya kurutubisha ndoa zetu na kujenga.

Karibuni.
Mmeo unampa mashamsham na kutoa ushirikiano kama unaotoa kwa mchepuko?
Kama haumpi, wewe ni source ya yeye pia kutafuta mchepuko wa kumpa mashamsham
 
Naona kivuruge wa miaka hiyo umerudi tena na hadithi zako za kimajinuni
 
we Mama una nyota ya kufa na UKIMWI live nakwambia.

siku yeyote safari yako inafika,we endelea.
 
Mumeo ana pesa mchepuko choka mbaya!! Arobaini yako ipo njiani.....Naamini mrejesho tutausikia kwenye media.
 
mwanamke mwenye tamaa kamwe haridhiki hata umsugue na brush...
mkuu nakupa pole kwa upupu huu ulouandika then unausifia ipo siku utakugharim nakukupa majuto makuu....
 
Back
Top Bottom